only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Kwa wiki kama mbili hivi,naibu waziri wa Tamisemi Mh.Agrey Mwanri alikuwa na ziara kanda ya ziwa.Kwa upande wangu napenda kumpongeza huyu waziri kwa kazi nzuri kidogo aliyoonyesha kule Mwanza...Baada ya kutembelea shule ile ya watu wenye mahitaji muhimu na kukuta mkandarasi kapiga dili na watu wa jiji waziri halithubutu kuzuia malipo yasifanyike.Ni watu wachache kwenye serikali hii wanaweza fanya maamuzi kama hayo japo ni madogo sana....Napenda kukupongeza......
:decision:[Nothing impossible under the sun.......]
:decision:[Nothing impossible under the sun.......]