ARKADI MAKONA
Member
- Jun 25, 2011
- 14
- 2
Kama Mtz yeyeto yule naweza kutumia kigezo chochote kile katika kumkubali kiongozi mmja kati ya wanaotajwa na jamii kuweza kupewa nafasi ya kuongoza.Naomba kuweka wazi kuwa nasukumwa na nafsi yangu kumpima EL kwa matokeo ya leo Arumeru sababu anao uwezo mzuri wa kuongoza lakini ili niwe mfuasi wake nahitaji kuona kama anao uweza wa kunipa ushindi endapo nikiwa shabiki wake na uchaguzi Arumeru ndo kipimo katika hili!