Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,784
- 28,804
Hahaha hapana,Best kumbe expert eeh!!!
Wala sio expert ila ikitokea hamna namna
Hahaha hapana,Best kumbe expert eeh!!!
Hahaha hapana,
Wala sio expert ila ikitokea hamna namna
Basi kila la kheri.
Kuingia PM siyo ishu Mkuu.Hii ni scramble for partition Mkuu. Nimeshaingia PM kwake kitambo
Mama yako ananuka maku. Wewe ni bonge la ngese sana.IPO siku utaota hadi wanaume
Profile yako ipo kikikekike mkuuAsante nashukuru!
Kumbe haikuwa mbali.Zali hiliI.m blushing mkuu
Watu wameanza na kuzinguana utafikiri wamewahi kumuona maana nimeshtukia tu watu wanakoromeana eti dogo hyo ni shem wako naomba umuache jamaa nae anasisitiza labda amuache yy
Pole brother. Huyu mrembo anatumia principle ya LIFO = Last In First OutKuingia PM siyo ishu Mkuu.
Inabidi atumie principle ya FIFO(First in First Out).
Kwa vile Mimi ndiyo nimeanza kuonesha nia mapema itabidi aniangalie kwanza!
Mkuu unaweza kunitoa Kwamtogole lakini kuitoa Kwamtogole ndani yangu ni shughuli, ajiandae kucheza mdundiko siku ya Birthday yangu hayo mambo ya DJ weka vitu huku hatuna.Binti wa Kwamtogole Sky Eclat unaitwa huku kuna mshefaa anataka kukutoa kimaso maso mwanangu usimuone akuhamishe kwenye chumba kimoja ili uhamie kwenye zile apartments kali za vyumba vitatu Upanga/Oysterbay.
Mkuu unaweza kunitoa Kwamtogole lakini kuitoa Kwamtogole ndani yangu ni shughuli, ajiandae kucheza mdundiko siku ya Birthday yangu hayo mambo ya DJ weka vitu huku hatuna.
Mkuu Oyster Bay na Upanga ninawaachia mamasiter do. Kule nikichoma kipande cha nguru wataita fire brigadier wakati huku kwetu kipande cha nguru unamalizia ugali wa mchana .Haya kazi kwako lakini ujue fika tabia nyingine za kwa mtogole kule Upanga au Oyestrbay hazikubaliki hivyo kama unazo hizo ziache huko huko kwa mtogole kama utatolewa kimaso maso mwangangu usimuone vinginevyo zile apartments bab kubwa na zenye kila kitu ndani utaziona chungu na kutamani urudi tena kwenye chumba chako kimoja kwa mtogole maji shida, umeme shida kelele mtindo mmoja 24/7
Mkuu Oyster Bay na Upanga ninawaachia mamasiter do. Kule nikichoma kipande cha nguru wataita fire brigadier wakati huku kwetu kipande cha nguru unamalizia ugali wa mchana .
Well said brother!Sky Eclat anaweza kuwa nae ame-feel something unusual, anajiuliza ujasiri wa huyu jamaa umejengwa katika msingi upi wa upendo, anataka kumake headline tu au ni pendo la dhati. Naamini anayatafakari maneno ya Gentleman na anayatafutia majibu. Naamini atampa majibu sahihi eidha hapa jukwaani au popote atakapoona inafaa. Kila laheri kwa wote.
Kila kitu kwakeSasa we umempenda Sky Eclat au umeipenda avatar ya Sky Eclat? Hebu niweke sawa hapo
HahahahhPole brother. Huyu mrembo anatumia principle ya LIFO = Last In First Out