Nampenda sana mwanamke mwenye rangi nyeusi.

Nampenda sana mwanamke mwenye rangi nyeusi.

bbwaoy

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2015
Posts
466
Reaction score
468
Aiseee, Mungu niweke hai , natamani mke wangu wa ndoa aje kuwa mweusi. Sijawahi kuvutiwa kabisa na mwanamke mweupe kamwe. ..mpaka jamaa zangu waninishangaa, hawa black walinipa nini???

Hata nikiwa kwenye mikusanyiko ya watu huwa napenda sana kuwa close na black girls tu.
 
best of luck...
lupita-2.jpg
 
aiseee, Mungu niweke hai , natamani mke wangu wa ndoa ajekua mweusi. Sijawai kuvutiwa kabisa na mwanamke mweupe kamwe. ..mpaka jamaa zangu wani nishangaa, hawa black walinipa nini???

Hata nikiwa kwenye mikusanyiko ya watu huwa napenda sana kua close na black girls tu.
rangi yako plz
 
Vijana mmeingiliwa baada ya kuona wanawake wengi sasa hivi ni mkologo kwenda mbele,mnataka waache tena mkologo ili waharibike zaidi Mungu anawaona.
 
Unavutiwa kutokana na mazingira unayoishi na aina ya watu wanaokuzunguka...

Mfano ukienda kwenye vilabu vya wanzuki, pombe za kienyeje.. wanawake wa pale wewe hata bure huchukui... lakini wenzako wa eneo lile wanaowaona malaika...
 
Amina.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
We uko karibu na akili yangu huwa sijui nikoje, nikiona mwanamke amejichubua akili yangu inaniambia huyu ni changudoa, toka nikiwa mdogo wale wanawake waliokua wanajichubua tulikua tunawaita maCD, Napenda sana mwanamke akiwa natural.
 
Mpaka uje kuoa sijui kama utakuta kuna wanawake weusi, siku hizi kila mmoja ni mthungu hadi nywelee
 
Huyu kwenye pic black beauty haswa, alafu yupo slim. kama ww una rangi kama hiyo aise watoto wenu watakuwa kama kambale . Hata Mm nimempenda, adimu sana.
 
Back
Top Bottom