Malyakishu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,968
- 2,353
Chinekeeee kwahiyo tulio jichubua tuende wap?
Msitufanyie hivyo tafadhali
Msitufanyie hivyo tafadhali
Chinekeeee kwahiyo tulio jichubua tuende wap?
Msitufanyie hivyo tafadhali
Huwa nacheka sana nikiona comments za namna hii. Ziko so unrealistic, hizo sifa zinamsisimuaje MTU? Nawafahamu watu wengi tu waliowahi kushikia bango kauli kama hizi na baadae kuchepuka na hao ambao Kwa maoni yao ya mwanzoni hawakuwa na sifa.Mwanamke awe na Tabia nzuri na mwenye hofu ya Mungu.... Huyo ndo chaguo sahihi la maisha.. colour means nothing.
Atoto, usiniambie na wewe umekunywa maji mengi kama Ray! Usihofu,wanaume wanatofautiana.Mmeona weusi wamebaki wa sample ndio mmeanza kufungua thread za kutaka wanawake weusi!! Hebu msituyumbishe huko.
Yaani maji yamenikolea namkaribia malkia, mara ghafla naona thread mbili mbili za kutaka weusi, nikaishia kutukana kimoyo moyo, ila wanaume mungu anawaona.Atoto, usiniambie na wewe umekunywa maji mengi kama Ray! Usihofu,wanaume wanatofautiana.
Mmeona weusi wamebaki wa sample ndio mmeanza kufungua thread za kutaka wanawake weusi!! Hebu msituyumbishe huko.
Watu tumenunua mikorogo hadi ya laki tumekuwa na rangi ya mtume halafu wanatuletea tena za kuleta[emoji17]Mmeona weusi wamebaki wa sample ndio mmeanza kufungua thread za kutaka wanawake weusi!! Hebu msituyumbishe huko.
Waturudishie gharama zetu na rangi zetu, lasivyo waendelee tu kupenda rangi ya mtume maana hamna namna!Watu tumenunua mikorogo hadi ya laki tumekuwa na rangi ya mtume halafu wanatuletea tena za kuleta[emoji17]
Tushakuwa weupe wote.Jamani mablack beauty mko wapi mnatafutwa huku, fanyen fasta
Aaaah mie kwa kweli wasinichoshe nitabaki na hii ya mtumeWaturudishie gharama zetu na rangi zetu, lasivyo waendelee tu kupenda rangi ya mtume maana hamna namna!
Now ni msimamo mmoja tu, no kuyumbishwa, wataipenda tu.Aaaah mie kwa kweli wasinichoshe nitabaki na hii ya mtume
Wakitaka rangi nyeusi waende sudan tu kwakweliNow ni msimamo mmoja tu, no kuyumbishwa, wataipenda tu.
Mkuu usimkatishe tamaa, kuna wengine bado tupo tunathamini weusi wetu na hatuna mpango wa kujicarolight.Mpaka uje kuoa sijui kama utakuta kuna wanawake weusi, siku hizi kila mmoja ni mthungu hadi nywelee
asanteni kwa kutukumbuka weusi leo...
ASANTEPole