Mwana kondoo
Senior Member
- May 21, 2017
- 180
- 175
Habari zenu,
Kuna mdada nimekua nikimfatilia sana comments zake na nimegundua nimetokea kumpenda sana.
Anajiita kapeace, haki nampenda natamani awe mke wangu wa ndoa.
Niko tayari kwa chochote kwa lolote na kama ana mpenzi au mchumba, natanguliza samahani kama nitakua nimemkwaza kwa kutoa ushuhuda wa moyo wangu.
Nakupenda sana kapeace!
Kuna mdada nimekua nikimfatilia sana comments zake na nimegundua nimetokea kumpenda sana.
Anajiita kapeace, haki nampenda natamani awe mke wangu wa ndoa.
Niko tayari kwa chochote kwa lolote na kama ana mpenzi au mchumba, natanguliza samahani kama nitakua nimemkwaza kwa kutoa ushuhuda wa moyo wangu.
Nakupenda sana kapeace!