Wewe friends with benefits sio kuishia kitandani, vip pesa ilikuwa unampa ama?Mara kadhaaa, si ndio maana ya friends with benefits
I appreciate the comment,, je Kama harudishi upendo, vipi ukiamua kukata mawasiliano tu ghafla in a peaceful way bila kumtaarifu chochote?Kijana, tambua kuwa kuna uwezekano mkubwa haupo peke yako...
Ukishaiset akili ya mwanamke kuwa una urafiki naye wa faida, ujue katika hesabu zake atakuondoa na ataendelea kumsaka mtu wa ndoto zake...
Hivyo kuna uwezekano:
1. Kapata mtu mwingine na ameshaamua kuwekeza huko, hivyo anakupoteza taratibu ili asikuumize.
2. Kapata mtu mwingine lakini bado yupo njia panda.
3. Yupo single isipokuwa hajaamini kama kweli wampenda au wataka endelea kumchezea
Kama ulimwambia wampenda na akakueleza atakujibu, possibility ni hiyo namba 1.
Kama ulimwambia wampenda na akawa kimya tu, possibility ni hiyo namba 2.
Kama situation ni namba 3, fanya kumueleza kwa utaratibu kuwa umeamua kuachana naye kwa sababu wewe wampenda lakini huoni kama moyo wake upo kwako tena. Hapa ndipo itatimia ile falsafa ya The art of love and being loved, "Kama unampenda mtu basi muache aende zake, kama alikuwa wa kwako atakurudia, na kama hakuwa wa kwako atenda zake"
Watu8 a.k.a Dr Love (leo nimekuwa kwenye mood ya kushusha hizi nyanga)
Iv watu kama nyie bado mpo duuuh. ACHA UTOTO NDUGU FUTA KILA KITU MPOTEZEE MAZIMA 🧠👨💻Wana JF naomba ushauri au msaada
Kuna msichana nmekuwa na hangout nae kwa mdaa sasa,we have made love tulikuwa kama friends with benefits kwa mdaa sasa ivi punde nika decide kumu approach kumwambia the way i feel kwamba nampenda na kweli i do love her.
things have changed hani treat kama zamanii najitahid sana kumuonyesha nampenda kwa njiaa nyngn but naona yeye hana interest na mm kabisa imefika point sjui nifanye nn natamani nimuache lakin nashindwa nampendaa sana am always thinking about her