Nampenda sana lakini yeye ananipenda kidogo mno

Tatizo haujiamini ebu jiamini basi kuwa na yeye anakupenda kama unavyompenda
 
Kijana, tambua kuwa kuna uwezekano mkubwa haupo peke yako...

Ukishaiset akili ya mwanamke kuwa una urafiki naye wa faida, ujue katika hesabu zake atakuondoa na ataendelea kumsaka mtu wa ndoto zake...

Hivyo kuna uwezekano:
1. Kapata mtu mwingine na ameshaamua kuwekeza huko, hivyo anakupoteza taratibu ili asikuumize.

2. Kapata mtu mwingine lakini bado yupo njia panda.

3. Yupo single isipokuwa hajaamini kama kweli wampenda au wataka endelea kumchezea

Kama ulimwambia wampenda na akakueleza atakujibu, possibility ni hiyo namba 1.

Kama ulimwambia wampenda na akawa kimya tu, possibility ni hiyo namba 2.

Kama situation ni namba 3, fanya kumueleza kwa utaratibu kuwa umeamua kuachana naye kwa sababu wewe wampenda lakini huoni kama moyo wake upo kwako tena. Hapa ndipo itatimia ile falsafa ya The art of love and being loved, "Kama unampenda mtu basi muache aende zake, kama alikuwa wa kwako atakurudia, na kama hakuwa wa kwako atenda zake"

Watu8 a.k.a Dr Love (leo nimekuwa kwenye mood ya kushusha hizi nyanga)
 
Kijana, tambua kuwa kuna uwezekano mkubwa haupo peke yako...

Ukishaiset akili ya mwanamke kuwa una urafiki naye wa faida, ujue katika hesabu zake atakuondoa na ataendelea kumsaka mtu wa ndoto zake...

Hivyo kuna uwezekano:
1. Kapata mtu mwingine na ameshaamua kuwekeza huko, hivyo anakupoteza taratibu ili asikuumize.

2. Kapata mtu mwingine lakini bado yupo njia panda.

3. Yupo single isipokuwa hajaamini kama kweli wampenda au wataka endelea kumchezea

Kama ulimwambia wampenda na akakueleza atakujibu, possibility ni hiyo namba 1.

Kama ulimwambia wampenda na akawa kimya tu, possibility ni hiyo namba 2.

Kama situation ni namba 3, fanya kumueleza kwa utaratibu kuwa umeamua kuachana naye kwa sababu wewe wampenda lakini huoni kama moyo wake upo kwako tena. Hapa ndipo itatimia ile falsafa ya The art of love and being loved, "Kama unampenda mtu basi muache aende zake, kama alikuwa wa kwako atakurudia, na kama hakuwa wa kwako atenda zake"

Watu8 a.k.a Dr Love (leo nimekuwa kwenye mood ya kushusha hizi nyanga)

Ahsante mkuu
 
She's Mine - Barrington Levy



Everyday I love her just a little bit more
Little bit more, little bit more.

Everyday I love her just a little bit more
And she loves me the same.
 
Kijana, tambua kuwa kuna uwezekano mkubwa haupo peke yako...

Ukishaiset akili ya mwanamke kuwa una urafiki naye wa faida, ujue katika hesabu zake atakuondoa na ataendelea kumsaka mtu wa ndoto zake...

Hivyo kuna uwezekano:
1. Kapata mtu mwingine na ameshaamua kuwekeza huko, hivyo anakupoteza taratibu ili asikuumize.

2. Kapata mtu mwingine lakini bado yupo njia panda.

3. Yupo single isipokuwa hajaamini kama kweli wampenda au wataka endelea kumchezea

Kama ulimwambia wampenda na akakueleza atakujibu, possibility ni hiyo namba 1.

Kama ulimwambia wampenda na akawa kimya tu, possibility ni hiyo namba 2.

Kama situation ni namba 3, fanya kumueleza kwa utaratibu kuwa umeamua kuachana naye kwa sababu wewe wampenda lakini huoni kama moyo wake upo kwako tena. Hapa ndipo itatimia ile falsafa ya The art of love and being loved, "Kama unampenda mtu basi muache aende zake, kama alikuwa wa kwako atakurudia, na kama hakuwa wa kwako atenda zake"

Watu8 a.k.a Dr Love (leo nimekuwa kwenye mood ya kushusha hizi nyanga)
Umetisha kamanda hata mimi scenario iliyonitokea haijaruka hapa uliposema
 
Kijana, tambua kuwa kuna uwezekano mkubwa haupo peke yako...

Ukishaiset akili ya mwanamke kuwa una urafiki naye wa faida, ujue katika hesabu zake atakuondoa na ataendelea kumsaka mtu wa ndoto zake...

Hivyo kuna uwezekano:
1. Kapata mtu mwingine na ameshaamua kuwekeza huko, hivyo anakupoteza taratibu ili asikuumize.

2. Kapata mtu mwingine lakini bado yupo njia panda.

3. Yupo single isipokuwa hajaamini kama kweli wampenda au wataka endelea kumchezea

Kama ulimwambia wampenda na akakueleza atakujibu, possibility ni hiyo namba 1.

Kama ulimwambia wampenda na akawa kimya tu, possibility ni hiyo namba 2.

Kama situation ni namba 3, fanya kumueleza kwa utaratibu kuwa umeamua kuachana naye kwa sababu wewe wampenda lakini huoni kama moyo wake upo kwako tena. Hapa ndipo itatimia ile falsafa ya The art of love and being loved, "Kama unampenda mtu basi muache aende zake, kama alikuwa wa kwako atakurudia, na kama hakuwa wa kwako atenda zake"

Watu8 a.k.a Dr Love (leo nimekuwa kwenye mood ya kushusha hizi nyanga)
Mzee nimejaribu kukufuata Dm sijafanikiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom