qeen jojo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,246
- 3,728
Mtoto unapenda hela wewe utafikili umezaliwa saccosBila hela? Wee dea acha hizo lol,
Mtoto unapenda hela wewe utafikili umezaliwa saccosBila hela? Wee dea acha hizo lol,
Kaza kabsaa pumbavu wwNdo umeamua kuja kunisemea huku eee..furesh.naendelea kukaza
Nani alikwambia um-approach na kujiongelesha ongelesha how you feel? Hapo ndio ulizingua. Kwani ulikuwa unakosa nini?Wana JF naomba ushauri au msaada
Kuna msichana nmekuwa na hangout nae kwa mdaa sasa,we have made love tulikuwa kama friends with benefits kwa mdaa sasa ivi punde nika decide kumu approach kumwambia the way i feel kwamba nampenda na kweli i do love her.
things have changed hani treat better kama zamanii najitahid sana kumuonyesha nampenda kwa njiaa nyngn but naona yeye hana interest na mm kabisa imefika point sjui nifanye nn natamani nimuache lakin nashindwa nampendaa sana am always thinking about her
Inaelekea mwamba bj,sarakasi na mengineyo yamemchanganya 😅😅halafu bidada ni kama hajausoma mchezoKuna watu wanapenda kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu we mtu umepewa for free unataka kuanza kujimiliksha sasa
ha ha shid dada kapewa show ya kawaida af jamaa kapewa kifurush cha week kavurugwa... siku nyengne umpe kidogo kidogo sawa mdogo anguInaelekea mwamba bj,sarakasi na mengineyo yamemchanganya halafu bidada ni kama hajausoma mchezo
usinichekeshe dea, kna kipindi kna Mr m1 akawa anajileta kwangu, ile shaghalabaghala kafunguka wazi tena Ali press wazi eti " watu wa aina yako huwa hawapendi hela kwahiyo naamini nitakua chaguo lako" nilicheka nusu nife wallah, nkamuuliza "unanijua au unanisikia"? Nkamuambia huna hela nenda kanunue soap ya 200 ni suluhisho la matatizo yako.Mtoto unapenda hela wewe utafikili umezaliwa saccos
Kaka ningekuja anzishiwa uzi huku ningejiona mwamba sana mdogo wako😅😅😅ha ha shid dada kapewa show ya kawaida af jamaa kapewa kifurush cha week kavurugwa... siku nyengne umpe kidogo kidogo sawa mdogo angu
Embu fanya miujiza nikuanzishie bas mdogo wanguKaka ningekuja anzishiwa uzi huku ningejiona mwamba sana mdogo wako
Hata mimi ni nahisi hivyo aise dah namuonea masta huruma
Dada nae anendendelea kukaza
Wooooooiiii....unafikiri ninamaajabu basii kaka!!!!!😃😃😃Embu fanya miujiza nikuanzishie bas mdogo wangu
ntakutafuta unipe maelezo zaidWooooooiiii....unafikiri ninamaajabu basii kaka!!!!!
Nitafute tu maelezo utayapata😃😃😃ntakutafuta unipe maelezo zaid
mwanamke anatakiwa kukutii tu na siyo kukupendaWana JF naomba ushauri au msaada
Kuna msichana nmekuwa na hangout nae kwa mdaa sasa,we have made love tulikuwa kama friends with benefits kwa mdaa sasa ivi punde nika decide kumu approach kumwambia the way i feel kwamba nampenda na kweli i do love her.
things have changed hani treat better kama zamanii najitahid sana kumuonyesha nampenda kwa njiaa nyngn but naona yeye hana interest na mm kabisa imefika point sjui nifanye nn natamani nimuache lakin nashindwa nampendaa sana am always thinking about her
Sio friends wote wanaweza kuwa lovers.Wana JF naomba ushauri au msaada
Kuna msichana nmekuwa na hangout nae kwa mdaa sasa,we have made love tulikuwa kama friends with benefits kwa mdaa sasa ivi punde nika decide kumu approach kumwambia the way i feel kwamba nampenda na kweli i do love her.
things have changed hani treat better kama zamanii najitahid sana kumuonyesha nampenda kwa njiaa nyngn but naona yeye hana interest na mm kabisa imefika point sjui nifanye nn natamani nimuache lakin nashindwa nampendaa sana am always thinking about her
Hii ndo formulaUnaye mpenda hakupendi na usiye mpenda anakupenda kwa dhati