Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Sasa kama unampenda unataka ushauri gani tena?subiri kuolewa bi mdogo
Ushauri gani tena. Acheni mambo ya kitoto. Amua mwenyewe kama ulivyoamua mambo yote yaliyopita
Haya Kijana fanya kazi uchukue mzigo huo. UsituangusheNipende mimi, sina mke wala mtoto
The Best opinion...
Kwa umri huo sijajua unashughulika na shughuli gani lakini kwa mfumo wetu ulitakiwa uwe unafanya shughuli fulani. Kazana katika unachofanya. Nitaassume hauna mtoto kwakua haujasema kwahiyo bado hauna distraction ya kukuzuia kufikia ndoto zako, kizuizi pekee cha ndoto zako naona ni huyohuyo jamaa.Nipe ushaur
Dada angu si kila mwanamke ameumbiwa mwanaume wake, nyinyi kwanza mko wengi kuliko sisi wanaume sasa ukikaa usubiri wako peke yako hutumpata bora kubanabana umo umo, maana mkisima kila mtu angoje wake , wengi mtakosa waumeHabari zenu, naitwa issabella natokea Tanga nina umri wa miaka 21, Nina boyfriend ambae nipo nae takribani miaka miwili sasa, katika mahusiano yetu ajawahi kuniambia ana mke wala watoto na ajawahi kunionyesha dalili yeyote ile kam ana mke.....lakin siku kadhaa niliambiwa na rafiki yake kuwa mtu ambae nipo nae n mume wa mtu, na nikweli nilithibitisha niakona kweli ana mke, nimemuuliza amekubali na ameniambia ajaniambia kwasbabu aliogopa nitamuach lakini bado ananipend na atanioa......ushari kwenu nifanyaje? nimuache au niendelee nae? Kiukweli mimi pia bado nampnda sana lakini sipoo tayari niolewe na mtu ambae ni mume wa mtu. Naombeni ushauri wenu plz
Umeyawahi sana mapenzi, acha yakutese! ila muachie mwenzio mume wake tafuta wako "Mume ana uma binti Ooh Ooh" Tutaonana wabaya I seeHabari zenu, naitwa issabella natokea Tanga nina umri wa miaka 21, Nina boyfriend ambae nipo nae takribani miaka miwili sasa, katika mahusiano yetu ajawahi kuniambia ana mke wala watoto na ajawahi kunionyesha dalili yeyote ile kam ana mke.....lakin siku kadhaa niliambiwa na rafiki yake kuwa mtu ambae nipo nae n mume wa mtu, na nikweli nilithibitisha niakona kweli ana mke, nimemuuliza amekubali na ameniambia ajaniambia kwasbabu aliogopa nitamuach lakini bado ananipend na atanioa......ushari kwenu nifanyaje? nimuache au niendelee nae? Kiukweli mimi pia bado nampnda sana lakini sipoo tayari niolewe na mtu ambae ni mume wa mtu. Naombeni ushauri wenu plz
KAMA jamaa ni muislam basi atakuoa Kwan dini yake inaruhusuHabari zenu, naitwa issabella natokea Tanga nina umri wa miaka 21, Nina boyfriend ambae nipo nae takribani miaka miwili sasa, katika mahusiano yetu ajawahi kuniambia ana mke wala watoto na ajawahi kunionyesha dalili yeyote ile kam ana mke.....lakin siku kadhaa niliambiwa na rafiki yake kuwa mtu ambae nipo nae n mume wa mtu, na nikweli nilithibitisha niakona kweli ana mke, nimemuuliza amekubali na ameniambia ajaniambia kwasbabu aliogopa nitamuach lakini bado ananipend na atanioa......ushari kwenu nifanyaje? nimuache au niendelee nae? Kiukweli mimi pia bado nampnda sana lakini sipoo tayari niolewe na mtu ambae ni mume wa mtu. Naombeni ushauri wenu plz
Nipo tu best mi pia nimekumissAysha upo![]()
![]()
![]()
Umepotea sana best mpk nimekumiss
Ok thanks.Nipo tu best mi pia nimekumiss
Poa usijali mi nipoOk thanks.
Usipotee sana mwenzio nakukumbuka
Haya Kijana fanya kazi uchukue mzigo huo. Usituangushe