Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 1,085
- 2,477
Ni lust but not loveHabarini humu wandugu,,
Nipo katika wakati mgumu kidogo na ningependa sana nipate ushauri fulani.
Mimi ni baba wa familia ya watoto wanne.... Mimi na Mke wangu tumefanikiwa kuishi pamoja kwa miaka 13 sasa tena kwa furaha bila shida zozote zaidi ya magomvi madogo madogo ya kawaida ndani ya nyumba.
Lakini kwa miaka 2 sasa nina mahusiano ya siri na mwanamke mwingine ambaye pia ni mke wa mtu.
Sikukusudia hili kutokea, na ninapambana kuelewa hisia hizi. Najua ni makosa. Najua sipaswi kuwa na hisia hizi, hususan yeye ni mke wa mtu na mimi nikiwa na mke na watoto ambao wana mategemeo juu yangu. Lakini inaonekana siwezi kuzivunja hisia hizi. Nifanyeje?
Huyu mwanamke yupo tayari aachane na mumewe na mimi niachane na mke wangu ili tuishi wote.. Hali zetu za kimaisha za familia na kipato cha mumewe vinafanana kwahiyo mimi naona hakuna jambo la tamaa ya hela...
Mke wangu nilimuoa kutoka kwenye "rebound" ya mahusiano ambayo nilitegemea yangezaa ndoa... Siyo kwamba simpendi mke wangu maana kwa miaka 11 ya mwanzo nimeishi naye bila makando kando yoyote yale ya kuchepuka... ila KUSEMA kweli mahusiano yetu yapo sana kama mama na baba na si mume na mke,,, hata naye anasema anajua anaishi na mtu anayemjali ila si kumpenda,,,,,, simchukiii ila hisia zangu kwake hazipo
Ila baada ya kukutana na huyu mwanamke mwingine, zile hisia zilizokufa miaka 13 iliyopita ziliamka tena, nilijaribu kujizuia lakini wapi.. Kiukweli amenirudisha nyuma ambako nilishazika hizo hisia na kuamua sitojiangaisha na mapenzi ila familia YANGU pekee.. Na muda wote huu wa miaka 2 bado hatujashiriki tendo la ndoa zaidi ya maongezi na mambo MENGINE ya kawaida, maana nafsi inanisuta kufanya hilo jambo.
Kwahiyo nipo mkorogo wa hisia nahitaji kujitoa..
Kweli hajala Bado ndomana anahisi anampendaWatoto wanne wote.
Bado unataka kuendekeza Uzinzi?
Kwani Una umri gani?
Hizi ni Genye ndio zinaongea
Habarini humu wandugu,,
Nipo katika wakati mgumu kidogo na ningependa sana nipate ushauri fulani.
Mimi ni baba wa familia ya watoto wanne.... Mimi na Mke wangu tumefanikiwa kuishi pamoja kwa miaka 13 sasa tena kwa furaha bila shida zozote zaidi ya magomvi madogo madogo ya kawaida ndani ya nyumba.
Lakini kwa miaka 2 sasa nina mahusiano ya siri na mwanamke mwingine ambaye pia ni mke wa mtu.
Sikukusudia hili kutokea, na ninapambana kuelewa hisia hizi. Najua ni makosa. Najua sipaswi kuwa na hisia hizi, hususan yeye ni mke wa mtu na mimi nikiwa na mke na watoto ambao wana mategemeo juu yangu. Lakini inaonekana siwezi kuzivunja hisia hizi. Nifanyeje?
Huyu mwanamke yupo tayari aachane na mumewe na mimi niachane na mke wangu ili tuishi wote.. Hali zetu za kimaisha za familia na kipato cha mumewe vinafanana kwahiyo mimi naona hakuna jambo la tamaa ya hela...
Mke wangu nilimuoa kutoka kwenye "rebound" ya mahusiano ambayo nilitegemea yangezaa ndoa... Siyo kwamba simpendi mke wangu maana kwa miaka 11 ya mwanzo nimeishi naye bila makando kando yoyote yale ya kuchepuka... ila KUSEMA kweli mahusiano yetu yapo sana kama mama na baba na si mume na mke,,, hata naye anasema anajua anaishi na mtu anayemjali ila si kumpenda,,,,,, simchukiii ila hisia zangu kwake hazipo
Ila baada ya kukutana na huyu mwanamke mwingine, zile hisia zilizokufa miaka 13 iliyopita ziliamka tena, nilijaribu kujizuia lakini wapi.. Kiukweli amenirudisha nyuma ambako nilishazika hizo hisia na kuamua sitojiangaisha na mapenzi ila familia YANGU pekee.. Na muda wote huu wa miaka 2 bado hatujashiriki tendo la ndoa zaidi ya maongezi na mambo MENGINE ya kawaida, maana nafsi inanisuta kufanya hilo jambo.
Kwahiyo nipo mkorogo wa hisia nahitaji kujitoa..
Kisayansi mwanaume kabla hajalala Na mwanamke Hua hawezi kutofautisha hisia za Upendo Na Tamaa...wengi Hua wanahisi wanawapenda wakat in reality wamewatamani...once akishalala Na mwanamke ndo anarealize ukweli wa feelings kama hakupenda ilikua tamaa anaamua kumtema mwanamkehivi kwa nn
Umerogwa sio bureHabarini humu wandugu,,
Nipo katika wakati mgumu kidogo na ningependa sana nipate ushauri fulani.
Mimi ni baba wa familia ya watoto wanne.... Mimi na Mke wangu tumefanikiwa kuishi pamoja kwa miaka 13 sasa tena kwa furaha bila shida zozote zaidi ya magomvi madogo madogo ya kawaida ndani ya nyumba.
Lakini kwa miaka 2 sasa nina mahusiano ya siri na mwanamke mwingine ambaye pia ni mke wa mtu.
Sikukusudia hili kutokea, na ninapambana kuelewa hisia hizi. Najua ni makosa. Najua sipaswi kuwa na hisia hizi, hususan yeye ni mke wa mtu na mimi nikiwa na mke na watoto ambao wana mategemeo juu yangu. Lakini inaonekana siwezi kuzivunja hisia hizi. Nifanyeje?
Huyu mwanamke yupo tayari aachane na mumewe na mimi niachane na mke wangu ili tuishi wote.. Hali zetu za kimaisha za familia na kipato cha mumewe vinafanana kwahiyo mimi naona hakuna jambo la tamaa ya hela...
Mke wangu nilimuoa kutoka kwenye "rebound" ya mahusiano ambayo nilitegemea yangezaa ndoa... Siyo kwamba simpendi mke wangu maana kwa miaka 11 ya mwanzo nimeishi naye bila makando kando yoyote yale ya kuchepuka... ila KUSEMA kweli mahusiano yetu yapo sana kama mama na baba na si mume na mke,,, hata naye anasema anajua anaishi na mtu anayemjali ila si kumpenda,,,,,, simchukiii ila hisia zangu kwake hazipo
Ila baada ya kukutana na huyu mwanamke mwingine, zile hisia zilizokufa miaka 13 iliyopita ziliamka tena, nilijaribu kujizuia lakini wapi.. Kiukweli amenirudisha nyuma ambako nilishazika hizo hisia na kuamua sitojiangaisha na mapenzi ila familia YANGU pekee.. Na muda wote huu wa miaka 2 bado hatujashiriki tendo la ndoa zaidi ya maongezi na mambo MENGINE ya kawaida, maana nafsi inanisuta kufanya hilo jambo.
Kwahiyo nipo mkorogo wa hisia nahitaji kujitoa..
nimekusoma,sasa nakuuliza vipi huyo hawara yako ambae ni mke wa mtu na yeye pia hampendi mumewe?Habarini humu wandugu,,
Nipo katika wakati mgumu kidogo na ningependa sana nipate ushauri fulani.
Mimi ni baba wa familia ya watoto wanne.... Mimi na Mke wangu tumefanikiwa kuishi pamoja kwa miaka 13 sasa tena kwa furaha bila shida zozote zaidi ya magomvi madogo madogo ya kawaida ndani ya nyumba.
Lakini kwa miaka 2 sasa nina mahusiano ya siri na mwanamke mwingine ambaye pia ni mke wa mtu.
Sikukusudia hili kutokea, na ninapambana kuelewa hisia hizi. Najua ni makosa. Najua sipaswi kuwa na hisia hizi, hususan yeye ni mke wa mtu na mimi nikiwa na mke na watoto ambao wana mategemeo juu yangu. Lakini inaonekana siwezi kuzivunja hisia hizi. Nifanyeje?
Huyu mwanamke yupo tayari aachane na mumewe na mimi niachane na mke wangu ili tuishi wote.. Hali zetu za kimaisha za familia na kipato cha mumewe vinafanana kwahiyo mimi naona hakuna jambo la tamaa ya hela...
Mke wangu nilimuoa kutoka kwenye "rebound" ya mahusiano ambayo nilitegemea yangezaa ndoa... Siyo kwamba simpendi mke wangu maana kwa miaka 11 ya mwanzo nimeishi naye bila makando kando yoyote yale ya kuchepuka... ila KUSEMA kweli mahusiano yetu yapo sana kama mama na baba na si mume na mke,,, hata naye anasema anajua anaishi na mtu anayemjali ila si kumpenda,,,,,, simchukiii ila hisia zangu kwake hazipo
Ila baada ya kukutana na huyu mwanamke mwingine, zile hisia zilizokufa miaka 13 iliyopita ziliamka tena, nilijaribu kujizuia lakini wapi.. Kiukweli amenirudisha nyuma ambako nilishazika hizo hisia na kuamua sitojiangaisha na mapenzi ila familia YANGU pekee.. Na muda wote huu wa miaka 2 bado hatujashiriki tendo la ndoa zaidi ya maongezi na mambo MENGINE ya kawaida, maana nafsi inanisuta kufanya hilo jambo.
Kwahiyo nipo mkorogo wa hisia nahitaji kujitoa..
Sumu wapi watu wanapeana daily...au sumu haijawaserious bado
Kikubwa haiitaji KY nyingi kwa mzuti kusimikwa panapo unyoro! Endelea kuparangana na mke wa mtu tu.
🤣🤣🤣🤒bado haijaanza kazi.
Hata Mimi siwezi kumuelewa kamwe. Alioaje mtu ambaye hana hisia nae?.Tatizo uliingia kwenye Ndoa na mtu usiyempenda kweli na yeye kuwa mahaba au hatoshi kwenye kilindi Cha Mapenzi yako.
Ukavumilia kwa sababu ya watoto, pressure ya wazazi, utaonekanaje na marafiki n bra bra bra nyingine.
Ukasahau hisia halisi huwa hazifi na hazizikwi, na bahati mbaya hukuwa kiruka mito.
Sasa mkuu hisia zilipoamka sio sehemu sahihi kwa ushauri tu,
Hata akifanikiwa kumuacha mumewe hakufai kabisa.
Jitulize subiri mwanamke sahihi akija, chepuka nae ila usimuache mkeo.
Hivi vitu wengi hawawezi kukuelewa kabisa, kama usivyo eleweka humu na ndio hauwezi eleweka kwenye jamii