HIZO zote ni post za mtoa mada za nyuma...yeye mwenyewe ameshaelewa ndio maana amekimbia.Sijaelewa hapo.
Asante kwa kunipenda lakini na mke...Wakuu hbr zenu!
Kuna kijana mwana MMU mwenzetu namzimia sana, ni mpole post zake zimejaa hekima na hajawahi kutukana, nimejitahidi kutupia vipost ili nayeye aje angalau lkn wanakuja nisiyo wapennda.
Naomba mnisaidie kumwambia plz maana moyo wangu krbu upasuke.
Atakaye nifikishia ujumbe huu ntampatia zawadi nono.
Mwambie yeye ndiyo pumzi yangu ntakufa kama akinikataa
Chonde chonde nisaidieni wakuu.
ninong'oneze ID yake nikusaidie kumwambiaNaogopa kumwambia
love is the beautiful thing, always love MONICCA never stop loving. ni furaha pekee isiyokuwa na gharama. nakutia moyo endelea kupenda.Nikimbilie wapi na jf ndo uwanja wangu wa kujimwaga na kujiachia?
Utamfanya aje mbioCc Behaviourist
Monicca kakuelewa uku anashindwa kukwambia
Anatumia jina gani Humu jf! FungukaWakuu hbr zenu!
Kuna kijana mwana MMU mwenzetu namzimia sana, ni mpole post zake zimejaa hekima na hajawahi kutukana, nimejitahidi kutupia vipost ili nayeye aje angalau lkn wanakuja nisiyo wapennda.
Naomba mnisaidie kumwambia plz maana moyo wangu krbu upasuke.
Atakaye nifikishia ujumbe huu ntampatia zawadi nono.
Mwambie yeye ndiyo pumzi yangu ntakufa kama akinikataa
Chonde chonde nisaidieni wakuu.
Mlengwa anajijua mbonaMoniccca!
Naona unataka kuwapa vijana hangaiko la kihisia kwa kudhani kuwa huyo uliyemwagia sifa hapa na ambaye umeridhia kumkabidhi moyo wako anaweza kuwa yeye.
Ila kiukweli hii post itasaidia kupunguza watukanaji humu...