Matumbwela
Senior Member
- Oct 23, 2010
- 124
- 88
Kama anafanya miamala kila siku...namba yake unayo!!!kingine nahofu ya kumwomba no, nahisi kwamba ataaniuliza nataka ya nini..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama anafanya miamala kila siku...namba yake unayo!!!kingine nahofu ya kumwomba no, nahisi kwamba ataaniuliza nataka ya nini..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
wasi wasi, na hofu ndio chanzo zaidi cha sisi kuwaona makauzu lakini ukishamuweka chini ya himaya yako ndipo utajua yupo simple, ama yeye mwenyewe kukwambia "baby mbona me nipo simple"Kwanini wakiwaga na mafanikio au uchumi wa maana wanaonekana kama makauzu vile unaweza shindwa kumfahamu kiundani
Sent using Jamii Forums mobile app
ipo ila sijawa na idhini ya kuitumia hadi anipe mwenyewe!!Kama anafanya miamala kila siku...namba yake unayo!!!
Dogo amza kumzoea kisha mwambie kama ana muda weekend ijayo mida ya jioni una mazungumzo na yeye mafupi.habari wa JF,
kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema kuna dada mmoja kwa jina Nancy, ni mteja wangu wa nguvu ktk huduma za simu pesa(miamala). Kila siku lazima aje aweke/kutoa/kutuma si chini ya mil.3 hadi 5. sasa basi kutokana na jinsi alivyoumbika, rangi yake, sauti yake na jinsi alivyo mkarimu kiukweli nimempenda na naitaji awe wifi/shemeji yenu.
Lakini ninachohofia ni kuwa endapo nitamuelezea hisia zangu huenda atasusa kuja tena kunichangia miamala, ama akanichukulia kama mtu ninayetumia kazi yangu kujinufaisha/kuwarubuni wadada. Kiukweli ni mdada anaejielewa kaenda hewani, hana mda na watu yaani yupo busy na mambo yake.
Tangu nimejitambua sijawahi kumwogopa wala kuwa domo zege kwa mdada yeyote ila kwa huyu dada sijui tuu nimekuwaje.. ila hofu yangu kubwa ni kupoteza mteja ambae mchango wake ktk biashara yangu ni mkubwa mno..
Ushauri jamani kipi nifanye kwa huyu bi dada, nijitose tu liwalo na liwe ama nijizuie ili nisipoteze uteja nae??
Sent using Jamii Forums mobile app
na kuhusu no. nimuombe!?Dogo amza kumzoea kisha mwambie kama ana muda weekend ijayo mida ya jioni una mazungumzo na yeye mafupi.
Anzia hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba jana nilisoma hii comment yako nikasema wacha nisubiri maana kesho sio mbali, sasa mkuu ile kesho ya jana ndo leo vipi umeanza process au bado domozege?kesho naanza process mara moja.. nitajitupa kama shilingi bahalini..
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuja ila nilimuagiza mtu amfuate kazin kwake(ktk duka la fashion) akawa amekuja!!Mzee baba jana nilisoma hii comment yako nikasema wacha nisubiri maana kesho sio mbali, sasa mkuu ile kesho ya jana ndo leo vipi umeanza process au bado domozege?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa utekelezaji mwema, ila usisahau kuleta uzi wa updates ili tujua kama kweli ulifanikia au la! Ili tukupe mbinu
mambo yalikuwaSawa utekelezaji mwema, ila usisahau kuleta uzi wa updates ili tujua kama kweli ulifanikia au la! Ili tukupe mbinu
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi haya unayosema huwa unayafanya naww pia, isije ikawa unanishauuri mimi wakati wewe huwezi kutimiza hata ½ yake..Unajua iyo miamala anayofanya hela inatoka wapi na kwenda wapi? Unajua kwa uzuri wake kuna mtu jashamwamini kumpa milioni mbili tatu ww hata iyo simu ya pesa hujawai kumpa aingize namba
Kuna jamaa mmoja aliniambia alifikiria ukinunua gari zuri kuanzia milioni 70 unapewa na demu mzuri wa kukaa pembeni sbb kila kwenye gari zurii anaona demu mzurii pembeni tafuta helaa utapata mzurii wako
aise mkuu ushajilipua tayari nini!
japo bado hajatoa jibu kamili ila hali si mbaya sana!!aise mkuu ushajilipua tayari nini!