Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,868
- 6,480
- Thread starter
- #61
daah, kwa aliewahi kupenda nahisi anaelewa kuwa nini namaanisha, lakini ukweli unabaki pale pale kuwa "no risk no gain" ntayafanyia kazi maoni yenu wana JF.Umependa uzuri wake au hizo milioni 3?
Maisha Ni kutake risk...Kama waogopa hutakaa uendelee
Pima Kama unaona huwezi ishi bila yeye tongoza tu....Kama waona hela Ni tamu zaidi Basi kula kwa macho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app