Habaran wana jamii forum hope kila mmoja yupo on way back to home baada ya mihangaiko sasa basi nimeona nishare na nyiny hii mada ok let go on
Nipo kwrnye relationship na msichana fulan jina kapuni for 4 years now nampenda sn na hii ni kwa sababu hakuna mwanamke aliewah pitia njia ambazo tumewah pitia mm na yy
Nampenda na wengine nawadanganya tu NIYEYE iko proved ndan ya moyo wangu km nampenda ana kila kitu ambacho msichana anatakiwa awe nacho lkn figa hana
Nimejaribu sn kwenda nae out nara kadhaa huko tunakula vitu vzr kuku.chipsi.kitimoto lkn ajabu ni kwamba mm ndio nimekuwa nikinenepa lkn yy yupo vile vile kwa umbo yy sio mwembamba wala mnene ni wa kawaida ila figa hana au niseme kalio hana
Nimejaribu nikiwa nae namuonesha picha za wanawake wenye mashape makusud ili nae apate hamasa ya kuwa km wao ata kwa kutengeneza lkn wapi kuna siku nilitoka nae out kesho nikampigia simu nikamuuliza umekula nn akajibu ameshindia uji toka asubuh nilishtuka sn
Nikagundua kuwa kumbe tukitoka out akirud home anaanza diet kumwambia ukwel kwamba nataka awe na figa nzur nashindwa maana nahis inaweza kumuumiza sn moyo
Mbaya zaid rafik zaid rafik zangu pia wanakuwa wakidai kuwa hana figa jambo ambalo linasababisha nijisikie vibaya
Naomben ushaur nifanyaje
NB : pia nipo kwenye relationship na dada mmoja ana shape lkn sura sio nzur sn afu kifuan matiti madogo nipo nae lkn simpend kuzid uyo w apo juu sababu uyu matako kaja kwangu sababu ya shida zake tu na ana omba omba hela ovyo namm nampisha kalendaWapo wengine wana sifa zao lkn siwapend km uyo wa apo juu na km angekuwa na shape tu basiiiiiiii ningekuwa nimekwishaaaaaaaaaaaaaaa
Nipo kwrnye relationship na msichana fulan jina kapuni for 4 years now nampenda sn na hii ni kwa sababu hakuna mwanamke aliewah pitia njia ambazo tumewah pitia mm na yy
Nampenda na wengine nawadanganya tu NIYEYE iko proved ndan ya moyo wangu km nampenda ana kila kitu ambacho msichana anatakiwa awe nacho lkn figa hana
Nimejaribu sn kwenda nae out nara kadhaa huko tunakula vitu vzr kuku.chipsi.kitimoto lkn ajabu ni kwamba mm ndio nimekuwa nikinenepa lkn yy yupo vile vile kwa umbo yy sio mwembamba wala mnene ni wa kawaida ila figa hana au niseme kalio hana
Nimejaribu nikiwa nae namuonesha picha za wanawake wenye mashape makusud ili nae apate hamasa ya kuwa km wao ata kwa kutengeneza lkn wapi kuna siku nilitoka nae out kesho nikampigia simu nikamuuliza umekula nn akajibu ameshindia uji toka asubuh nilishtuka sn
Nikagundua kuwa kumbe tukitoka out akirud home anaanza diet kumwambia ukwel kwamba nataka awe na figa nzur nashindwa maana nahis inaweza kumuumiza sn moyo
Mbaya zaid rafik zaid rafik zangu pia wanakuwa wakidai kuwa hana figa jambo ambalo linasababisha nijisikie vibaya
Naomben ushaur nifanyaje
NB : pia nipo kwenye relationship na dada mmoja ana shape lkn sura sio nzur sn afu kifuan matiti madogo nipo nae lkn simpend kuzid uyo w apo juu sababu uyu matako kaja kwangu sababu ya shida zake tu na ana omba omba hela ovyo namm nampisha kalendaWapo wengine wana sifa zao lkn siwapend km uyo wa apo juu na km angekuwa na shape tu basiiiiiiii ningekuwa nimekwishaaaaaaaaaaaaaaa