Nampenda ila simuelewi

Nampenda ila simuelewi

Kula kona, fanya yako. Sio kila mwanaume anapenda kubembelezwa sana, akifanya maamuzi ndio basi, hakuna kurudi nyuma. Anaweza pretend kuwa hakuna tatizo ila baadaye akaja kukumwaga mzima mzima mchana kweupe!!! yeah ndivyo wanaume tulivyo. Sasa bora na wewe umkaushie, kama anakupenda kweli atakutafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara ugomvi unakurupua unanitukana mimi

Hata zawadi nikikuletea hausemi asante

Tena nashare hata bila kujua we hulidhiki kwa nini

Kuna wakati nilijisumbua mwenzangu usiwaze

Kwangu moyo we unauchanganya ah

Umekuwa kivuruge unavuruga sana baba wee

Kitu gani kwako mi sijafanya, eeh eeh

Ama kuna mtu mnapendana sana



Leo sina thamani ndo mana

Unawafata ma-sister-du oh baba

Leo sina thamani eeh ndo mana

Unawafata ma-sister-du oh baba

We niache ee



Nitapona mdogo mdogo nitapona (niache)

Nitapona mdogo mdogo nitapona (nitapona kidogokidogo)

Nitapona mdogo mdogo nitapona (nitapona mi)

Nitapona mdogo mdogo nitapona

Aiyoyoiyoooh

(Nandy - Kivuruge)
 
MVUMILIE
Habari zenu wana jf,kama hapo juu panavyosomeka,Nilianza naye mahusiano mwaka 2017,tumekuwa wote kwa mwaka na miezi kadhaa
Mwaka jana mwenzi wa 10 nilipata mimba na wakati huo hatukuwa kwny mahusiano mazuri,lakini tuliongea akasema kwamba tupo wote sababu ya mimba,nilipata stress sana sababu sipendi nije kuwa na watoto wa baba tofauti,stress ambazo kwa kiasi kikubwa zilipelekea nikapata miscarriage, kipindi chote cha mimba mpka miscarriage alikuwa ananisupport kwa asilimi kubwa na pia upendo baina yetu uliongezeka kiasi fulani japo siwezi jua kama upendo wake ulikuwa unamaanisha,baada ya mimba kuharibika nikarudi nyumbani Mkoani kwa family issues,
Wiki ya mbili za mwanzo toka nije mkoani mawasiliano yalikuwa mazuri tu,wiki ya tatu baadaye mawasiliano yakapungu nisipomtafuta hanitafuti na akinitafuta ananilaumu kwanini simtafuti,na mimi kama binadamu sikupenda nikamwambia tu kwamba ww unataka utafutwe tu na unajitia busy,tuligombana sana baada kama ya siku mbili akaniambia kwakuwa siku za wiki yuko busy then tutafutane weekend atatenga mda kwa ajili yangu sikutaka kubishana naye,weekend ikifika bado anakuwa busy nikamwambia kama huwezi kunipa mda hata weekend basi unitafute ukijisikia akasema nampangia,yeye ashasema atanitafuta weekend,sikutaka kubishana naye nikamwambia tu kwny mahusiano mawasiliano ni jambo la kwanza hasa ukizingatia mimi na wewe tuko basi ikiwa kama nimeanzisha ugomvi tukagombana sana,mpka akaniambia kwamba ananipa ruhusa niwe na mwanaume mwngne ili tu nione kama mahusiano yapo kama nnavyodhani nayeye nafasi yake nimuachie palepale anataka tu nipate experience,
Kiukweli nampenda sana lakini kwa hii kauli yake nipo njia panda nahisi hata upendo wangu kwake unapungua kila siku na sitaki kumpoteza ni mtu ambaye amenifundisha mambo mengi na anamchango mkubwa kwenye maisha yangu ukitoa familia marafiki,
Jamani nifanyeje ili huu usiano uendelee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengine kwa kujiumiza mpaka utupiwe virago nje? Penda upendwapo usilazimishe mdada hapo kuna mwingine, embu tulia uguza kidonda chako anza na maisha yako akikaa kimya embu nawewe kaa kimya uone kama utapata pressure usilazimishe mapenzi utaumia mwenyewe embu jaribu ku move out fanya yako atakuja akupendaye

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ikitokea Huyo atakaye kuja kumpenda asitokee atafanyaje, binadamu tumekuwa selfish sana yan kila MTU anaona yeye ndo anatakiwa apendwe na kushobokewa ..ndo maana r/ships zinazidi kuwa completed sababu ya ubinafsi

From profile picture to proper future
 
Vipi ikitokea Huyo atakaye kuja kumpenda asitokee atafanyaje, binadamu tumekuwa selfish sana yan kila MTU anaona yeye ndo anatakiwa apendwe na kushobokewa ..ndo maana r/ships zinazidi kuwa complicated sababu ya ubinafsi

From profile picture to proper future



From profile picture to proper future
 
Pole sana, ila kwa ulichoandika hapo juu huyo mwanaume hakupendi tena, na ukilazimisha kuwa naye basi kaa ukijua utalia siku zote.

Najua inaweza ikawa ngumu kuelewa, ila ulivyoandika ni wazi kabisa hakupendi na anakuona kama mzigo kwake ambao hajui aupeleke wapi.

Jiandae kisaikolojia Ku move on.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Hvi darasa linaanza lini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wana jf,kama hapo juu panavyosomeka,Nilianza naye mahusiano mwaka 2017,tumekuwa wote kwa mwaka na miezi kadhaa
Mwaka jana mwenzi wa 10 nilipata mimba na wakati huo hatukuwa kwny mahusiano mazuri,lakini tuliongea akasema kwamba tupo wote sababu ya mimba,nilipata stress sana sababu sipendi nije kuwa na watoto wa baba tofauti,stress ambazo kwa kiasi kikubwa zilipelekea nikapata miscarriage, kipindi chote cha mimba mpka miscarriage alikuwa ananisupport kwa asilimi kubwa na pia upendo baina yetu uliongezeka kiasi fulani japo siwezi jua kama upendo wake ulikuwa unamaanisha,baada ya mimba kuharibika nikarudi nyumbani Mkoani kwa family issues,
Wiki ya mbili za mwanzo toka nije mkoani mawasiliano yalikuwa mazuri tu,wiki ya tatu baadaye mawasiliano yakapungu nisipomtafuta hanitafuti na akinitafuta ananilaumu kwanini simtafuti,na mimi kama binadamu sikupenda nikamwambia tu kwamba ww unataka utafutwe tu na unajitia busy,tuligombana sana baada kama ya siku mbili akaniambia kwakuwa siku za wiki yuko busy then tutafutane weekend atatenga mda kwa ajili yangu sikutaka kubishana naye,weekend ikifika bado anakuwa busy nikamwambia kama huwezi kunipa mda hata weekend basi unitafute ukijisikia akasema nampangia,yeye ashasema atanitafuta weekend,sikutaka kubishana naye nikamwambia tu kwny mahusiano mawasiliano ni jambo la kwanza hasa ukizingatia mimi na wewe tuko basi ikiwa kama nimeanzisha ugomvi tukagombana sana,mpka akaniambia kwamba ananipa ruhusa niwe na mwanaume mwngne ili tu nione kama mahusiano yapo kama nnavyodhani nayeye nafasi yake nimuachie palepale anataka tu nipate experience,
Kiukweli nampenda sana lakini kwa hii kauli yake nipo njia panda nahisi hata upendo wangu kwake unapungua kila siku na sitaki kumpoteza ni mtu ambaye amenifundisha mambo mengi na anamchango mkubwa kwenye maisha yangu ukitoa familia marafiki,
Jamani nifanyeje ili huu usiano uendelee

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan bna mi nimeshindwa kukupa ushauri ambao ni straight,, nimeandika sana na kufutafuta mara kibao, maana sasa watu wema huangukia mikono isiyo sahihi, mikono sahihi huangukia kwa watu vichaa, viburi, vichwa maji, dont care, etc..


Ila mwanaume ukiona kakuruhusu ukachepuke ujue hiyo ni setup (trap) anatafta reasonable fact ili akufutilie mbali,kwanza inadhihirisha kua hakupendi yan live and direct haku-feel, mana mwanaume perfect kwa mtuwake hawezi tamka maneno ya vile, kingine sisi wanaume tunaumizwaga na kitu kushea na mtu,,,

Ila (power of love drives person's emotions)

Love is the only unique thing that travel kilometers of miles,, kwahyo jiongeze, ukiona mtu ana kiburi ujue kuna kitu champa kiburi,,,,


*Uonapo manyoya uje kuna ndege kaliwa*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiandae kisaikolojia maana yajayo sidhani kama yatakufurahisha.
 
Jiongeze mimi sikupi pole tumia ubongo wako kujiongeza tafutamwenza mwingine mbona tuko wengi wenye mapenzi ya dhati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom