Nampenda ila simuelewi

Nampenda ila simuelewi

Kipi usichokielewa na mambo ya wazi?

Hutakiwi, wewe ndio unafos mtu aishi njia yako wakat kwako alishatoka zamani

My dear hebu live your life, yes unampenda lakini jaribu kusoma vitendo, na mapenzi yako kwake yasikutie upofu ukaacha kuona mbele,

Jus give him a taste of his own medicine, play it cool, fanya akufanyiavyo halaf zoea hiyo hali utaona maisha yalivyo matam nje ya kua kwenye mahusiano yasiyo na afya

Muoneshe pamoja na kwamba unampenda unaweza kuishi bila na yeye na kamwe furaha yako isitegemee mtu mwengine

Hilo nalo litapita.
Nimeipenda huo ndio ukweli
 
Wanawake Mungu tuongee huruma.
1: mwanaume anaekupenda hawezi kumaliza Siku mzima bila kukutafuta, SMS or call ikitokea Siku ikapita basi next day atakwambia why.

2: huyo mshenzy hakupendi ana mwanamke mwingine wewe kakupeka spare tire, akiachwa aje kwako.
3: kwa nini ulikubali kupata mimba kwa MTU kama huyo? Hii itakukost sana hata kama ilitoka.
4: ruhusu mwanaume mwingine atakae jua thamani yako.

5: kuna mwanaume ambae atakupenda atakupa priority kwa kila kitu, asubuhi,mapema gudmorning Darling,? I miss u, I love u, oh baby I miss u soo much, next weekend take a flight come and see me😂❤💞 😂😂and tell me how much😂 afu spendi unavyokosa hewani ujue? Mm Niko busy ila napokutafuta sitaki kabisa ukose hewani.

Ahaaaa huyo ndio mwanaume utakae mpaka themaaa amina
 
Kipi usichokielewa na mambo ya wazi?

Hutakiwi, wewe ndio unafos mtu aishi njia yako wakat kwako alishatoka zamani

My dear hebu live your life, yes unampenda lakini jaribu kusoma vitendo, na mapenzi yako kwake yasikutie upofu ukaacha kuona mbele,

Jus give him a taste of his own medicine, play it cool, fanya akufanyiavyo halaf zoea hiyo hali utaona maisha yalivyo matam nje ya kua kwenye mahusiano yasiyo na afya

Muoneshe pamoja na kwamba unampenda unaweza kuishi bila na yeye na kamwe furaha yako isitegemee mtu mwengine

Hilo nalo litapita.
Well said...

From profile picture to proper future
 
Hapo ni kwamba tu jamaa anashindwa kukwambia uendele na maisha yako kwa kuogopa kukuumiza kwa kuwa mmetoka mbali na pengine anajisikia kwa namna fulani yuko "responsible" kwa kipindi mlichokuwa wote. Ila kwa mimi huo uhusiaon kwa 95% ushakufa mmebaki marafiki tu hapo.
 
Wanawake Mungu tuongee huruma.
1: mwanaume anaekupenda hawezi kumaliza Siku mzima bila kukutafuta, SMS or call ikitokea Siku ikapita basi next day atakwambia why.

2: huyo mshenzy hakupendi ana mwanamke mwingine wewe kakupeka spare tire, akiachwa aje kwako.
3: kwa nini ulikubali kupata mimba kwa MTU kama huyo? Hii itakukost sana hata kama ilitoka.
4: ruhusu mwanaume mwingine atakae jua thamani yako.

5: kuna mwanaume ambae atakupenda atakupa priority kwa kila kitu, asubuhi,mapema gudmorning Darling,? I miss u, I love u, oh baby I miss u soo much, next weekend take a flight come and see me and tell me how much afu spendi unavyokosa hewani ujue? Mm Niko busy ila napokutafuta sitaki kabisa ukose hewani.

Ahaaaa huyo ndio mwanaume utakae mpaka themaaa amina
Uko sahihi kwa asilimia nyingi

From profile picture to proper future
 
Wanawake wana amini kuwa yule mwanaume ambaye anakua anawajulia hali kila SAA ndo mwenye mapenzi ya dhati lakini ,wanasahau kuna aina ya wanaume wako nyuma kidogo kwenye mawasiliano, yeye akiwa kazini anakua haendekezi sana mawasiliano

From profile picture to proper future
 
Kwanza pole na matizo, pili kumbuka sisi wanaume tuna hali ya kuwakifu wanawake kwa kiasi flan pale unapokuwa nae kwa mda tena hasa linapokuja suala la kujua kuw mwanamke ananipenda kwa % kubwa, nakushauri uwe mvumilivu ili baadae uje ufumbuz wa jambo lako.. kingine kujionyesha ni mdhaifu kwa mwanaume kuwa unampenda ni sawa na kujiandalia siraha ambayo baadae itakuja kukuripua mwenyew, naww jifanye upo busy na kutokuwa serious nae ili ajue hautishik sana kwa ukimy wake

Sent using Jamii Forums mobile app

Naomba ufuate huu ushauri, naunga mkono hoja.
 
Watu wengine kwa kujiumiza mpaka utupiwe virago nje? Penda upendwapo usilazimishe mdada hapo kuna mwingine, embu tulia uguza kidonda chako anza na maisha yako akikaa kimya embu nawewe kaa kimya uone kama utapata pressure usilazimishe mapenzi utaumia mwenyewe embu jaribu ku move out fanya yako atakuja akupendaye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duniani watu wangekuwa sio waelewa kama wewe vita visingeisha hapo hupendwi wala hutakiwi ....unasubiri mimba tena ya kulazimisha, jiongeze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom