Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,588
- 7,286
una umri gani dada....
ushauri wangu utategemea sana na umri wako
Sent using Jamii Forums mobile app
ushauri wangu utategemea sana na umri wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeipenda huo ndio ukweliKipi usichokielewa na mambo ya wazi?
Hutakiwi, wewe ndio unafos mtu aishi njia yako wakat kwako alishatoka zamani
My dear hebu live your life, yes unampenda lakini jaribu kusoma vitendo, na mapenzi yako kwake yasikutie upofu ukaacha kuona mbele,
Jus give him a taste of his own medicine, play it cool, fanya akufanyiavyo halaf zoea hiyo hali utaona maisha yalivyo matam nje ya kua kwenye mahusiano yasiyo na afya
Muoneshe pamoja na kwamba unampenda unaweza kuishi bila na yeye na kamwe furaha yako isitegemee mtu mwengine
Hilo nalo litapita.
Well said...Kipi usichokielewa na mambo ya wazi?
Hutakiwi, wewe ndio unafos mtu aishi njia yako wakat kwako alishatoka zamani
My dear hebu live your life, yes unampenda lakini jaribu kusoma vitendo, na mapenzi yako kwake yasikutie upofu ukaacha kuona mbele,
Jus give him a taste of his own medicine, play it cool, fanya akufanyiavyo halaf zoea hiyo hali utaona maisha yalivyo matam nje ya kua kwenye mahusiano yasiyo na afya
Muoneshe pamoja na kwamba unampenda unaweza kuishi bila na yeye na kamwe furaha yako isitegemee mtu mwengine
Hilo nalo litapita.
Kabla hujafika kwa raisi Mungu tu asaidie kichwa cha chini kisibadilishe mawazoNataka niwasilishe matatizo yake kwa rais
Uko sahihi kwa asilimia nyingiWanawake Mungu tuongee huruma.
1: mwanaume anaekupenda hawezi kumaliza Siku mzima bila kukutafuta, SMS or call ikitokea Siku ikapita basi next day atakwambia why.
2: huyo mshenzy hakupendi ana mwanamke mwingine wewe kakupeka spare tire, akiachwa aje kwako.
3: kwa nini ulikubali kupata mimba kwa MTU kama huyo? Hii itakukost sana hata kama ilitoka.
4: ruhusu mwanaume mwingine atakae jua thamani yako.
5: kuna mwanaume ambae atakupenda atakupa priority kwa kila kitu, asubuhi,mapema gudmorning Darling,? I miss u, I love u, oh baby I miss u soo much, next weekend take a flight come and see me![]()
and tell me how much
afu spendi unavyokosa hewani ujue? Mm Niko busy ila napokutafuta sitaki kabisa ukose hewani.
Ahaaaa huyo ndio mwanaume utakae mpaka themaaa amina
Kabla hujafika kwa raisi Mungu tu asaidie kichwa cha chini kisibadilishe mawazo
Kwanza pole na matizo, pili kumbuka sisi wanaume tuna hali ya kuwakifu wanawake kwa kiasi flan pale unapokuwa nae kwa mda tena hasa linapokuja suala la kujua kuw mwanamke ananipenda kwa % kubwa, nakushauri uwe mvumilivu ili baadae uje ufumbuz wa jambo lako.. kingine kujionyesha ni mdhaifu kwa mwanaume kuwa unampenda ni sawa na kujiandalia siraha ambayo baadae itakuja kukuripua mwenyew, naww jifanye upo busy na kutokuwa serious nae ili ajue hautishik sana kwa ukimy wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nayo inateswaga huko mbele siku yake ikifikaHakupendi huyo ebu angalia ustaarabu mwingine inauma sana lakini utakuja msahau tu sijui mijanaume ya hivi ipoje kutesa mioyo ya wengine pole mwaya
toa sababu za kufanya niufute..Naomba ufuate huu ushauri, naunga mkono hoja.
Wateswage tu sijui huwa wanafikilia nini au wanajiona wao ni nani
Duuuh sijui njaa ndio inanisumbua, eti me nimeona umeandika niufute huo ushauri, ngoja nile kwanza maana naona nyota nyota tu!!!