nampenda H.MDEE jamani !

nampenda H.MDEE jamani !

Yaani kiukweli apo utakua unatafuta ugomvi coz she is mine so try kuwa na heshima. I think atakwambia yote
 
dah basi nami nampenda na kumshukuru mama angu kwa kunizaa na kunisomesha na sasa hivi nasikia faraja jamani tuwapende mama zetu.
 
In love but out of favour, keep dreaming the girl is mine.
 
Ndugu,huoni aibu?
......kivipi? acha uoga mkuu!!

aone aibu ya nini........?
mbona kuna mengi ya kuonea aibu dunian na si hili
.....mahabuba wangu mzima jamani! unajua napenda nikusalimie kila wakati as if hatujaonana, maana kila dakika moja nikiwa mbali nawe inanigharimu sana! love you sana tena sana tena sana! jamani acha nile rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....!!!!!!
 
Hapana sitaki contacts za J Lo. Unataka nipigwe risasi na Puff Diddy?
 
halimu mdee umeona jinsi ulivyo deal!
ahahahhahaha watu mna mambo humu!JF bana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom