UNDENIABLE
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 2,326
- 1,315
majungu hayo.undeniable
am not kidding bro!
majungu hayo.undeniable
Likini Mr Mr lover lover hilo penzi lako la dhati linahitaji chachandu na mbolea kulipalilia na mbolea yenyewe ni dinari we si unaona yale mamigodi anayokupigia?kweli utaenda tu huna hata bajaji umwambie unampenda kwa dhati akuelewe?bongo hii wanaume mlivyo after opportunity me naamini hatakuelewa ni hayo tu kila la kheri.by the way me nafiria mwenye pesa kama mimi ndio aniwowe
Kuna tetesi zinavuma kwamba ni mribelali...................
Simama kwenye junction ya moroco karib na US embassy. Wekend..
Ongea na Mh Nassary kwanza uone kama amemtema ama laa.
Hata mimi nimesoma na nina umri wa kutosha na kweli nimeona mengi na kwa sababu nimeona mengi sitakubali mwanaume asiye na pesa ahusiane na mimi nomba na Mungu anipitishie mbali.
nimevumilia sana jamani but huyu mdada mi nampenda sana.sauti yake,swaga zake sio za kisister duu ndo nakwisha kabisa namtafuta sana kama mtu akimuona anifikishie ujumbe wangu.alafu nashangaa mkononi hana pete ya ndoa mi nitamvalisha ntampa mapenzi motomoto na hata jutia kuwa na mimi.halima please i love you.mimi ni kijana ambaye anakufaa sina mademu wengine najua kupenda kaelimu kangu kazuri njoo tujenge familia tafadhali.