man culture
Member
- Jul 3, 2013
- 7
- 0
vp nikupe no yake ya cm nn?
Khaa!! hamna kitu. Wewe unatamani lile shangingi na mavuno ya bungeni. Ni kama wewe ndiyo unataka kuolewa . Mbona mtaani wapo wengi tu aina yake? :bored:mwanaume mwenye pesa hazaliwi anatengenezwa cynthia chriss.karne hii unafikiri mwanaume unayemtaka utampata tafuta alafu mjenge unavyo taka.la sivyo utapata wa kupritend anapesa mwisho wa siku kumbe za baba.shauri yako.kama halima ni shosti wako nikimpata atakwambia kwangu han'goki.
you are not serious kumuanika humu si vizuri, nakuona kama hujiamini vile maana kama wewe ni mwanaume kweli halima anapatikana sehemu zinazojulikana. ukienda bungeni utamkuta kajaa tele, hopfully ukimtafuta hata anapoinshi utampata tu. halima si mwanamke mwenye maringo I hope atakusikiliza. ila angalizo. halima ni vigumu kutokuwa na mchumba wake. kwa hiyo usiende kwake kwa vile ana pesa laaaaa atakufukuza kama mbwa mwizi.