Nampenda Evelyn Salt

Nampenda Evelyn Salt

Jamani nimetokea kumpenda huyu dada...naomba ushauri wenu nitampataje? Please i need constructive ideas

Mbwiga88 hivi unajua humu ndani kuna wanaume wana IDs za kike na za kiume. Kuwa muangalifu usije ukakutana na mtu amening'iniza kengele kama wewe.
 
Looh! Nimefurahi zama za babu zetu zimerudi......Yaani kijana yupo mjini anapewa taarifa kwa barua za wazazi kuna mke kijijini na hajawahi kumwona ila anampenda na siku akirudi anamchukulia na zawadi. Let it be na msiniache kwenye kadi za harusi.
 
Mbwiga88 hivi unajua humu ndani kuna wanaume wana IDs za kike na za kiume. Kuwa muangalifu usije ukakutana na mtu amening'iniza kengele kama wewe.

Amekuambia Washaonana!
 
Amekuambia Washaonana!

Ukifuatilia kuanzia post yake ya kwanza na kuendelea sidhani kama ni kweli wameonana, na hai make sense kwa mtu mlioisha onana nae kumwekea issue kama hii humu, labda kama ndio staili ya utongozaji wa dot.com
 
Hivi kumbe kuna kudondokeana humu eh?? eti Evelyn Salt ??..mie najuaga masihara tu..lolz
Ila hawa wapiga kelele mara nyingi sio watongozaji..umesahau a barking dog seldom bites.....

Watu wapo serious!!!!
ila ni wachache wenye mioyo migumu ndo wanafunguka mbele ya kadamnasi....
wengi ni wa pm tu he he he, wale wa pm nisameheni bure!!!!
 
mmmh watu kwa ushadidi siwawezi......au ndo wivu tena?.....
 
Watu wapo serious!!!!
ila ni wachache wenye mioyo migumu ndo wanafunguka mbele ya kadamnasi....
wengi ni wa pm tu he he he, wale wa pm nisameheni bure!!!!

Nasubiri jibu langu jamani.....Evelyn u are klng me kwa kwl
 
Mbwiga88 hivi unajua humu ndani kuna wanaume wana IDs za kike na za kiume. Kuwa muangalifu usije ukakutana na mtu amening'iniza kengele kama wewe.

Looh! Nimefurahi zama za babu zetu zimerudi......Yaani kijana yupo mjini anapewa taarifa kwa barua za wazazi kuna mke kijijini na hajawahi kumwona ila anampenda na siku akirudi anamchukulia na zawadi. Let it be na msiniache kwenye kadi za harusi.

Amesema kishaniona!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom