Nampenda Evelyn Salt

Nampenda Evelyn Salt

Ukiletewa kadi ya mchango sijui hizo aibu utaweka wapi he he he!!!!
Kisa kukutana jf ndo tumwagane? mbona hata ndoa za wachungaji zinakufa?

Ndugu Evelyn Salt,
Kadi nitapokea, bila shaka na nitachanga. Ishu ni kwamba sometimes chit chat inakuwa na mapenzi ya plastiki sana (watu wanaishi Ki-Isidingo zaidi) yaani wanapendana kwa keyboards na avatars. Ndio sababu nikagusia na kumwagana.
 
Last edited by a moderator:
Pfuuuuuuu kuna watu watakuja na nyuzi milioni kukuponda juu ya tamaa zako..

ngoja nikamwangalie kule bondeni nimwambie..
 
Ndugu Evelyn Salt,
Kadi nitapokea, bila shaka na nitachanga. Ishu ni kwamba sometimes chit chat inakuwa na mapenzi ya plastiki sana (watu wanaishi Ki-Isidingo zaidi) yaani wanapendana kwa keyboards na avatars. Ndio sababu nikagusia na kumwagana.

this is MMU buddy..
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Evelyn Salt,
Kadi nitapokea, bila shaka na nitachanga. Ishu ni kwamba sometimes chit chat inakuwa na mapenzi ya plastiki sana (watu wanaishi Ki-Isidingo zaidi) yaani wanapendana kwa keyboards na avatars. Ndio sababu nikagusia na kumwagana.

Hapa sio chit chat lakini!!!!!!
 
he he he anipende mwingine jibu utake wewe! ha ha ha umenichekesha....
endelea kusubiri, To be continued......

We Endelea Kuninyanyasa
Mara Nyingi Nikiwa Nacheki Muv
Basi Nakuwaga Upande Wa Steringi pindi Anapotaka Kuopoa Mtoto mzuri Kama Wewe
SEMA BASI KAMA TAYARI MMEMALIZANA PM
 
We Endelea Kuninyanyasa
Mara Nyingi Nikiwa Nacheki Muv
Basi Nakuwaga Upande Wa Steringi pindi Anapotaka Kuopoa Mtoto mzuri Kama Wewe
SEMA BASI KAMA TAYARI MMEMALIZANA PM

he he he nahisi hapa kuna "azima jamvi kabla hawajaomba wenzako".....
 
Hivi kumbe kuna kudondokeana humu eh?? eti Evelyn Salt ??..mie najuaga masihara tu..lolz
Ila hawa wapiga kelele mara nyingi sio watongozaji..umesahau a barking dog seldom bites.....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom