Nampenda Evelyn Salt

Nampenda Evelyn Salt

Chini ya mwarobaini ama chini ya mtopetope? Atafua saaa hivi tena, muache!

chini ya mwarobaini best, maana halitakauka na kunguru watalichafua kwa masusu yao.
chini ya mtopetope linaweza kukauka kwa uharaka maana kivule chake si totoro.
 
unapenda maandishi ya huyo binti humu jf.......

Au unamaanisha evelyne salt, wa kwenye movie ya the terrorist (kama sikosei)

au umpenda angelina jolie? aliyeact kama evelyne salt?

au unajilipua tu?
 
Evelyn sitaki kuamni kama nawee waweza ingia mitini dear, njoo umpe moja lieleweke c unajua mapenzi kikohozi
 
Jamani nimetokea kumpenda huyu dada...naomba ushauri wenu nitampataje? Please i need constructive ideas

sio kila king'aacho ni dhahabu yakheee

207627_331319490317394_148480786_n.jpg
 
Jamani nimetokea kumpenda huyu dada...naomba ushauri wenu nitampataje? Please i need constructive ideas
Kwa kumpenda mtu ni hadi umpate? We si ubaki huko uliko naye abaki aliko na uendelee kumpenda? Au una la zaidi ya kumpenda? Au wewe kumpenda mtu maana yake umpate?
 
Una hatari mwanangu Mbwiga88. Yaani unampenda mtu ambaye hata hujui utampata wapi! Hebu angalia wimbo huu huenda utapata jibu.


Usimvunje moyo kijana wa watu!!!!
atanipata aliponiona hapa hapa jf...
 
Last edited by a moderator:
sio kila king'aacho ni dhahabu yakheee

207627_331319490317394_148480786_n.jpg

Haaahaaahaaaahaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

Umeifanya siku yangu iwe nzuri sana. Haaahaaahaaaaaa!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom