Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,313
- 2,651
Sinunuliki mimi mkuu, ukiona hivyo ujue kuna tatizo la kiufundi tu, we gonna fix em man!
ningeshangaa pia ningejua hapa nashindana na fisadi uchumi kubwa nchini.
Sinunuliki mimi mkuu, ukiona hivyo ujue kuna tatizo la kiufundi tu, we gonna fix em man!
uuuuuuwii samahani aisee! acha kucheza na mbavu za wenzio, ina maana jamaa alijua nini hicho?Jamani mbavu zanguuuuuuuuuuuuuuu, pliz cna za spea, hahahahahaha
uuuuuuwii samahani aisee! acha kucheza na mbavu za wenzio, ina maana jamaa alijua nini hicho?
umeona eeenh, humu unatakiwa uwe na roho ngumu kutaka kufanikisha yako, wapozeaji wengi kweli
mmh im starting to doubt!! au na wewe umefall pale?
Hayo yako si mapenzi ni kichaa bwana mdogo utakufa wakati si wako. Ukiona vyaelea jua vimeundwa. Nadhani jambo jema unaloweza kufanya ni kwenda kwa daktari wa akili vinginevyo jihesabu umepotea.
ndo ww kumbe una majina miawe nawe nani mcharuko sasa
no komentNilishakucharukia wewe????
inawezekana wale wanaokupinga either wamefall pale,au hawajui maana ya kupenda,hebu ngoja nitoe mfano,
UNASEMA Unapapenda sana say Monaco-France,wewe hujawai kwenda lakini unapenda,u have an imagination,kwamba monaco patakuwa hivi na vile,kutokana ulivyosikia,au kusoma majarida kuhusu huu mji wa Monaco,mimi huwa naendaga kutembea huko.tuelezee kupenda kwa tafsiri ya general,mtu unaweza kupenda usichoona ok,ingawa unakuwa umesikia alivyo,au thread zake,au wewe ulimaanisha mpaka umuone ndo umpende?huo utakuwa ni ukamilisho to ya hatua za kupenda,kuna watu wanafikiri kumpenda mtu mpaka umuone kanisani,kwa wale wakrito,au kwenye majumuiko fulani,fine,bt u need to go deep,utakuwa umemuona tu,zote hizo ni hatua ktk kupenda,litakuja swala la kufikisha upendo wako kwake huyo EVELYNE SALT,labda sijui utamweleza direct?,au utaacha mzoeane ndo umwambie,inategemea na YEYE EVE Atakapo paceive,EVELYNE anaweza kutupa nae mtazamo wake hapa,to me hizi zote ni hatua ktk kupenda so hakuna ubaya,humu kwenye mitandao ni hatua tuu mkuu,mwisho wa siku mtaonana na kufahamiana zaidi.
no koment
unampenda Eve au unapenda avatar yake?Jamani nimetokea kumpenda huyu dada...naomba ushauri wenu nitampataje? Please i need constructive ideas
unampenda Eve au unapenda avatar yake?
kwani kumpenda mtu lazima uwe umeshawahi kumuona? mbona wewe unampenda Mungu na haujawahi kumuona? mapenzi ni hisia so zikishadevelop tu hamnaga tatizo iwe umewahi kumuona au la..amini hivyo..umeshawahi muona?!au ndio umepagawa na thread zake tu.