Nampa laki 5 ya matumizi kila mwezi, lakini kila siku nalishwa kabeji

Ha ha kabichi kila siku hapana, fanya kununua kila kitu weka ndani

mimi pamoja na kuwa busy ila huwa ninafanya manunuzi mwenyewe siyo kwa sababu nimbane mwenzangu kwenye hela ya matumizi, hapana ila yeye ni mvivu hapendi kwenda kufanya manunuzi sokoni,

hivyo huwa ninaenda mwenge kununua nyama, samaki, kuku, dagaa kisha ninaenda mabibo sokoni kununua maharage mabichi, njegere, viazi ndoo kubwa, vitunguu, karoti, nyanya, mboga mboga kama broccoli, cauliflower, cabbage,spring onions etc.

Kwa experience yangu sijawahi kutumia 50K nikiingia mabibo, na budget nzima sijawahi kumaliza 300,000/= hapa hadi mafuta ninanunua na hapo hamna kitu kitaisha kwa mwezi mzima na hamna kurudia aina ya chakula ndani ya wiki...zaidi ya hapo huwa ninaacha hela ya mtumizi madogo madogo kila siku siulizi matumizi yake lakini kama haijatumika ninaikuta na kuiacha mpaka itumike, wapo fair hapa

Unapigwa na kitu kizito kama unatoa hiyo laki 5 na bado mahitaji yake mengine unamtimizia, na bado unakula hovyo
 
Nianze kwa kumshukuru Mama Samia Suluhu kwa kuifungua nchi na kulinda legacy ya mtangulizi wake.

Iko hivi, naishi na mwanamke ni tumeokotana tu mtaani tukapendana tukaamua kuishi pamoja.

Huyu mwanamke yangu ni mtumishi wa hii serikali ya awamu ya sita katika moja ya hospitali mjini Dar es Salaam.

Sasa mimi kama mwanaume huwa najitahidi kumpa pesa ya matumizi ya mwezi mzima ili kuepusha mambo kuingiliana ila kuanzia huu mwaka uanze naona mara kwa mara nalishwa kabeji kila siku ilihali naacha nyumbani laki 5 ya matumizi kwa mwezi

Naelewa gharama za maisha zumeongezeka lakini naamini kiasi cha laki 5 kwa mwezi ninachompa huyu mwanamke kinatosha kabisa kwa sisi kula chochote tukitakacho ila mwenzenu nalishwa kabeji aisee.

Je, ni sawa au nichukue hatua?
Wewe ndiyo mwenye makosa! Fanya hivi:

Tafuta bucha ya nyama maeneo unayoshi. Lipia bill in advance, nyama ya kutosha kula mwezi mzima; kwa makadirio yake na yako.

Punguza hizo hela za bill ya nyama kwenye hiyo laki 5 halafu zinazobali mpatie. Fanya hivyo kila mwezi maisha yote
 
Nunua kabati, kisha hiyo laki tano nunua maharage, dagaa, mbaazi choroko, uwe unampimia glass moja kila siku kabla ya kwenda kazini. Siku ukiamua kula nyama unanunua nusu kilo unarudi nayo nyumbani. Hakikisha mnakuwa wote jikoni .😎😎
🙌🙌🙌🤣🤣 Jf bwana
 
Nianze kwa kumshukuru Mama Samia Suluhu kwa kuifungua nchi na kulinda legacy ya mtangulizi wake.

Iko hivi, naishi na mwanamke ni tumeokotana tu mtaani tukapendana tukaamua kuishi pamoja.

Huyu mwanamke yangu ni mtumishi wa hii serikali ya awamu ya sita katika moja ya hospitali mjini Dar es Salaam.

Sasa mimi kama mwanaume huwa najitahidi kumpa pesa ya matumizi ya mwezi mzima ili kuepusha mambo kuingiliana ila kuanzia huu mwaka uanze naona mara kwa mara nalishwa kabeji kila siku ilihali naacha nyumbani laki 5 ya matumizi kwa mwezi

Naelewa gharama za maisha zumeongezeka lakini naamini kiasi cha laki 5 kwa mwezi ninachompa huyu mwanamke kinatosha kabisa kwa sisi kula chochote tukitakacho ila mwenzenu nalishwa kabeji aisee.

Je, ni sawa au nichukue hatua?
KWANI HIYO LAKI 5 MPO WANGAPI? INAWEZEKANA KUNA FAMILIA YA WATU 7
 
Siku moja niliingia cha kike aisee pale mlimani City,agiza misosi na kisha kuwapiga ofa washikaji fulani wawili,naletewa bili laki 2 na Elfu 60,nikadhani labda wamekosea wakaongeza sifuri moja kimakosa,pesa inauma aisee sirudii tena huo utopolo,mkuu laki 5 ni pesa yakununua shamba heka mbili ama tatu
🤣🤣🤣😄😄 Kichwa kikaanza kujaa kama pulizo ,🤣🤣 Nasikia mpaka ulisahau jina lako unaitwa Nani within a two weeks 🤣🤣🤣
 
Nianze kwa kumshukuru Mama Samia Suluhu kwa kuifungua nchi na kulinda legacy ya mtangulizi wake.

Iko hivi, naishi na mwanamke ni tumeokotana tu mtaani tukapendana tukaamua kuishi pamoja.

Huyu mwanamke yangu ni mtumishi wa hii serikali ya awamu ya sita katika moja ya hospitali mjini Dar es Salaam.

Sasa mimi kama mwanaume huwa najitahidi kumpa pesa ya matumizi ya mwezi mzima ili kuepusha mambo kuingiliana ila kuanzia huu mwaka uanze naona mara kwa mara nalishwa kabeji kila siku ilihali naacha nyumbani laki 5 ya matumizi kwa mwezi

Naelewa gharama za maisha zumeongezeka lakini naamini kiasi cha laki 5 kwa mwezi ninachompa huyu mwanamke kinatosha kabisa kwa sisi kula chochote tukitakacho ila mwenzenu nalishwa kabeji aisee.

Je, ni sawa au nichukue hatua?
Siku moja jioni hebu jikaze kiume udai taarifa ya Mapato na Matumizi uone itakuwaje!!
 
Tukiachana na mtoa mada kiukweli wanawake wengi ni wabinafsi.hata mimi lilinikuta hili aisee naacha hela nzuri nakuta kapika vitu vya ajabu.nikamkazia nilichofanya nikawa nikiondoka asubuhi namwachia mfanyakazi pesa tena namuuliza leo mnapika nn akisema maharage basi buku tano inawatosha akisema nyama au samaki nampa ya kutosha hiyo bajeti.wife akanunaaa hahahaha
ha ha ha ha ha yes. you are wrong
 
Back
Top Bottom