Nampa laki 5 ya matumizi kila mwezi, lakini kila siku nalishwa kabeji

Kuna ulalamishi mwingine ni wa kitoto sana, kwanza mimi binafsi siamini katika kuacha ela kula nyumbani, nadhani mtu unayejielewa make sure chakula kipo nyumbani.

Nenda super marketa fanya banka yako ya mahitaji ya mwezi au wiki mbili, hapo una mchele unga, unga wa ngano na makorocho yote mpaka ukitoka kile kitoli kimejaa, nenda sokoni nunuwa nyanya sado, vitunguu kilo mbili, karoti kilo mbili, hoho, swaumu, tangawizi na some soice weka ndani.

Nunuwa kilo mbili za nyama katakata weka kwenye friji, ukiweza kufuata muongozo huu nyumbani kwako hakuna biashara ya kodi ya meza labda siku moja moja ndio unawauliza wanataka mboga gani unaacha mwekundu wa msimbazi anatosha, na kama unakaa kwako siku hizi mboga za majani unaotesha kama unavyootesha mauwa kwenye makopo siyo za kununuwa daily.

Mimi system ya nyumbani kwangu chakula hakikosekani muda wowote nitakaorudi nikifunguwa friji natowa vitu nawasha gesi mchemsho wa kishkaji fasta tu wala simsumbui mtu na wala sitaki kupikiwa na mtu nikishagonga vyombo vyangu.
 
Kuna ulalamishi mwingine ni wa kitoto sana, kwanza mimi binafsi siamini katika kuacha ela kula nyumbani, nadhani mtu unayejielewa make sure chakula kipo nyumbani.

Nenda super marketa fanya banka yako ya mahitaji ya mwezi au wiki mbili, hapo una mchele unga, unga wa ngano na makorocho yote mpaka ukitoka kile kitoli kimejaa, nenda sokoni nunuwa nyanya sado, vitunguu kilo mbili, karoti kilo mbili, hoho, swaumu, tangawizi na some soice weka ndani.

Nunuwa kilo mbili za nyama katakata weka kwenye friji, ukiweza kufuata muongozo huu nyumbani kwako hakuna biashara ya kodi ya meza labda siku moja moja ndio unawauliza wanataka mboga gani unaacha mwekundu wa msimbazi anatosha, na kama unakaa kwako siku hizi mboga za majani unaotesha kama unavyootesha mauwa kwenye makopo siyo za kununuwa daily.

Mimi system ya nyumbani kwangu chakula hakikosekani muda wowote nitakaorudi nikifunguwa friji natowa vitu nawasha gesi mchemsho wa kishkaji fasta tu wala simsumbui mtu na wala sitaki kupikiwa na mtu nikishagonga vyombo vyangu.
Matola karoti kilo mbili unatumia kwenye nini?

Ila jamani tuacheni utani hakuna kitu kinachomaliza pesa kama chakula.
Binafsi huwa nanunua mchele, sembe,ngano, maharage, dagaa, sukari,mafuta, sabuni gas na umeme, kuku, samaki, halafu natenga 30,000 bi weekly kununua mazagazaga yote ila karoti huwaga za buku 🤣🤣🤣.

Lakini hii haijawahi kuwa sababu ya kutopewa kodi ya meza.
Kodi ya meza inasaidia kubadilisha mboga, chakula, siku zingine tunajitoa out, kununua mikate, maziwa ya watoto, mkaa wa kupima, sabuni za chooni, nauli, matunda
tang'ana usilalamike nyie mpo kipato cha kati mpe hiyo 500,000 na umfanyie stock ya vyakula,mnunulie gas na mlipie umeme.
Ila 500,000 kila kitu humo humo ni mtihani aiseeee.
 
Mwenywe matumiz yangu ni laki 5 tupo5hm kwangu nami sifurahiagi msosi wa wife kwanza hahisi jiko ni beki tayu, so mm hua mkimya sana ila jeuri, nishaamua hom nakula usiku tu
 
Matola karoti kilo mbili unatumia kwenye nini?

Ila jamani tuacheni utani hakuna kitu kinachomaliza pesa kama chakula.
Binafsi huwa nanunua mchele, sembe,ngano, maharage, dagaa, sukari,mafuta, sabuni gas na umeme, kuku, samaki, halafu natenga 30,000 bi weekly kununua mazagazaga yote ila karoti huwaga za buku 🤣🤣🤣.

Lakini hii haijawahi kuwa sababu ya kutopewa kodi ya meza.
Kodi ya meza inasaidia kubadilisha mboga, chakula, siku zingine tunajitoa out, kununua mikate, maziwa ya watoto, mkaa wa kupima, sabuni za chooni, nauli n.k.
tang'ana usilalamike nyie mpo kipato cha kati mpe hiyo 500,000 na umfanyie stock ya vyakula,mnunulie gas na mlipie umeme.
Ila 500,000 kila kitu humo humo ni mtihani aiseeee.
Kaloti kwangu ni sehemu ya chakula pia, sometimes natengeza juice ya karoti kwa ajiri ya macho au kutafuna.

Karoti ndio tuna pekee linakokwenda kwenye jicho moja kwa moja, hata siku ukioana shida ukawashwa sana na macho menya karoti tafuna utaona muda huohuo muwasho unakata.

Na ukienda sokoni karoti usinunuwe zile wanapanga chini kwenye friji zinawahi kuoza, nunuwa kwa wale wanaopima kwa kilo karoti inakaa kwenye friji hata mwezi bila kuharibika.
 
Mwenywe matumiz yangu ni laki 5 tupo5hm kwangu nami sifurahiagi msosi wa wife kwanza hahisi jiko ni beki tayu, so mm hua mkimya sana ila jeuri, nishaamua hom nakula usiku tu
Kuna vitu usinyamaze, hakuna kitu muhimu kama msosi wa nyumbani, sasa kama hupati taste ya chakula nyumbani hapo kuna shida.

Siku hizi utandawazi mletee mama magazine za mapishi, muwekee bundle mfowardie YouTube channel za mapishi ajifunze hili siyo la kukaa kimya.

Mimi nyumbani kwangu swala la menu ni full burudani, akiingia mama jikoni kunoga, nikisema mzee mzima siku niingie mwenyewe mama anafurahi na roho yake anatamani niwe napika daily.

Kwakweli vunja ukimya tumia polite language atakuelewa, mtu mwenye nia ya kujifunza mapishi anajuwa cha msingi awe na nia yeye binafsi.
 
Nianze kwa kumshukuru Mama Samia Suluhu kwa kuifungua nchi na kulinda legacy ya mtangulizi wake.

Iko hivi, naishi na mwanamke ni tumeokotana tu mtaani tukapendana tukaamua kuishi pamoja.

Huyu mwanamke wangu ni mtumishi wa hii serikali ya awamu ya sita katika moja ya hospitali mjini Dar es Salaam.

Sasa mimi kama mwanaume huwa najitahidi kumpa pesa ya matumizi ya mwezi mzima ili kuepusha mambo kuingiliana ila kuanzia huu mwaka uanze naona mara kwa mara nalishwa kabeji kila siku ilihali naacha nyumbani laki 5 ya matumizi kwa mwezi

Naelewa gharama za maisha zumeongezeka lakini naamini kiasi cha laki 5 kwa mwezi ninachompa huyu mwanamke kinatosha kabisa kwa sisi kula chochote tukitakacho ila mwenzenu nalishwa kabeji aisee.

Je, ni sawa au nichukue hatua?
laki tano haitoshi, labda kama mpo kijijini!
 
laki tano haitoshi, labda kama mpo kijijini!
Msijikweze sana humu wakati Watanzania wengi wanaishi kwa mishahara ya laki tatu kwa mwezi.

Tusitumie vibaya hizi platform kuandika vitu nje ya uhalisia wa Mtanzania wakati hapo ulipo huenda mpaka asubuhi utoke baadaye ndio uwatumie ela ya kula nyumbani baada ya kubangaiza.

Watanzania tulio wengi hatuna maisha hayo ya kuibeza laki tano eti ni ndogo una familia ya watu wangapi?
 
Nianze kwa kumshukuru Mama Samia Suluhu kwa kuifungua nchi na kulinda legacy ya mtangulizi wake.

Iko hivi, naishi na mwanamke ni tumeokotana tu mtaani tukapendana tukaamua kuishi pamoja.

Huyu mwanamke wangu ni mtumishi wa hii serikali ya awamu ya sita katika moja ya hospitali mjini Dar es Salaam.

Sasa mimi kama mwanaume huwa najitahidi kumpa pesa ya matumizi ya mwezi mzima ili kuepusha mambo kuingiliana ila kuanzia huu mwaka uanze naona mara kwa mara nalishwa kabeji kila siku ilihali naacha nyumbani laki 5 ya matumizi kwa mwezi

Naelewa gharama za maisha zumeongezeka lakini naamini kiasi cha laki 5 kwa mwezi ninachompa huyu mwanamke kinatosha kabisa kwa sisi kula chochote tukitakacho ila mwenzenu nalishwa kabeji aisee.

Je, ni sawa au nichukue hatua?
stingly wife
 
Familia yako ina ukubwa gani?
Laki tano kwa mwezi sawa na 16,000

Je hiyo ni ya mboga tu au ndio inunue mchele unga ngano nyanya sabuni umeme.maji dstv kuku samaki nk??????

Halafu utegemee miujiza.
 
Anayeacha elfu 20 kwa siku ukimwambia aache laki tano kwa mwezi hawezi hana ubavu huo.

Think twice, na hapo ndipo mnapofeli kwa hesabu hizi.
Hapo ndo pagumu kama jamaa anadunduliza kweli ni shida na pia anaeokoteza kamwe hawezi acha 20K kwa siku ni Uongooo mzeee...!! Hiyo 20k kwa siku mbona unaweza nunua nyama na zaga zingine za kutumia hata week shida inakuja kama hana Friji ndo kununua rejareja inaumizaa sanaa
 
Nianze kwa kumshukuru Mama Samia Suluhu kwa kuifungua nchi na kulinda legacy ya mtangulizi wake.

Iko hivi, naishi na mwanamke ni tumeokotana tu mtaani tukapendana tukaamua kuishi pamoja.

Huyu mwanamke wangu ni mtumishi wa hii serikali ya awamu ya sita katika moja ya hospitali mjini Dar es Salaam.

Sasa mimi kama mwanaume huwa najitahidi kumpa pesa ya matumizi ya mwezi mzima ili kuepusha mambo kuingiliana ila kuanzia huu mwaka uanze naona mara kwa mara nalishwa kabeji kila siku ilihali naacha nyumbani laki 5 ya matumizi kwa mwezi

Naelewa gharama za maisha zumeongezeka lakini naamini kiasi cha laki 5 kwa mwezi ninachompa huyu mwanamke kinatosha kabisa kwa sisi kula chochote tukitakacho ila mwenzenu nalishwa kabeji aisee.

Je, ni sawa au nichukue hatua?
Anajenga huyo au analipia kiwanja kidogo kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nianze kwa kumshukuru Mama Samia Suluhu kwa kuifungua nchi na kulinda legacy ya mtangulizi wake.

Iko hivi, naishi na mwanamke ni tumeokotana tu mtaani tukapendana tukaamua kuishi pamoja.

Huyu mwanamke wangu ni mtumishi wa hii serikali ya awamu ya sita katika moja ya hospitali mjini Dar es Salaam.

Sasa mimi kama mwanaume huwa najitahidi kumpa pesa ya matumizi ya mwezi mzima ili kuepusha mambo kuingiliana ila kuanzia huu mwaka uanze naona mara kwa mara nalishwa kabeji kila siku ilihali naacha nyumbani laki 5 ya matumizi kwa mwezi

Naelewa gharama za maisha zumeongezeka lakini naamini kiasi cha laki 5 kwa mwezi ninachompa huyu mwanamke kinatosha kabisa kwa sisi kula chochote tukitakacho ila mwenzenu nalishwa kabeji aisee.

Je, ni sawa au nichukue hatua?
Kwanini husiwagaiye wazaz wako hizo pesa kama bado wapo hai?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom