Je una website iliopo offline? na unataka kuiweka kwenye intenet? pata msaada wako hapo WA BURE pia kwa wanaojua mnaweza kuchangia na kunikosoa!.
Kwa mtazamo wangu naona kuna njia mbili kuuu.
1)Kutumia server ya bure(Japo kuna faida na hasara zake)
Mifano ya server za bure(Ntazitaja kadhaa lakin ntaelezea kama 2 tu)
Lakin Ikumbukwe kwamba hizi za bure zina kikomo kiasi flani ambapo uki zidi hivyo vikomo lazima ulipie.
Infinity free itakurusu kutengeneza website za php na html na itakupa mysql kwajili ya database.
Namna ya kuweka website yangu Infinity free?
Je una swali la aina GANI? Kama ni la siri njoo inbox kama ni la kawaida uliza hapa na ntajibu kwa faida ya wote!
Kwa mtazamo wangu naona kuna njia mbili kuuu.
1)Kutumia server ya bure(Japo kuna faida na hasara zake)
Mifano ya server za bure(Ntazitaja kadhaa lakin ntaelezea kama 2 tu)
- Netlify
- Heroku .com
- Render
- Infinity free
- Na zingine Nyingiiiiii.. Kama unajua yako ntashukuru kama utaongezea!
Lakin Ikumbukwe kwamba hizi za bure zina kikomo kiasi flani ambapo uki zidi hivyo vikomo lazima ulipie.
Infinity free
Infinity free itakurusu kutengeneza website za php na html na itakupa mysql kwajili ya database.
Namna ya kuweka website yangu Infinity free?
- Kwanza utahitaji akaunti ya infintyfree Ambayo utajaza Email yako na utaweka password unayotaka.
- Picha 1:Namna ya kutengeneza account infinity free
- Cha pili ni kutengeneza website account yani mfano nina website ambayo ABC ntatengeneza account yake ambayo ni abc .
- Kama unavyo ona kuna pahali pa account ambayo hiyo ina wakilisha website Kwa mfano ntatengeza website inaitwa equator_example kama mfano.
- Kufanya hivyo unafanya kama ifuatavyo
- Unabonyeza New account
- Kitachofata utaambiwa kuandika domain name/ Jina la website unayo taka (Kwa sababu natumia YA BURE ntapewa ambayo ipo kama equatorexample.epizy.com )
- Baada hapo ntatengeneza Hosting Account
- Baada ya hapo una weza kwenda kwenye control panel ambapo utaweza kufanya mambo kama Ku add database na ku upload ma file yako.
- Kinachofata ni ku upload website yako kwenye server/ account yako una weza ukatumia “FTP CLIENT” kama vile Filezilla . Au una weza uka upload kutumia browser yako. Au kutumia ftp kama vile Ftp Client kama “FTP CLIENT” kama vile filezila.
2)Kutumia sever ya kulipia- Kuna server nyiiiiiiingi sana za kuhostia ambazo unaweza kulipia
- Ntakuja nazo baadae plan zake na jinsi mda unavyo enda ntaongeza MAMBO MOTOMOTO
Je una swali la aina GANI? Kama ni la siri njoo inbox kama ni la kawaida uliza hapa na ntajibu kwa faida ya wote!