Mkuu kule ni maji mara mojanyie watu bana
charity begins at home
jiulize hapa home (TZ) umewavua (kama samaki) wangapi kutoka INSTAGRAM,
Aksante saana mkuluWengi tu mkuu ,
Na kwa hapa Arusha wewe nenda pale VIA VIA na ujuekuongea hata Kile kizungu kidogo cha kuombea maji .
How's going this evening?
I'm Mike,
Nice to meet you .
Which country are u from ?
Usipende kuanza kuwauliza how old are u hawependagi ,halafu kama ni koko kwenye mazungumzo unaweza kuchomekea u looks young au u r adorable ,unamchomekea maneno ya positive never ever been in Negative ni hayo tu my buddies.
Vi-wonder vinaandaliwaDah wonders shall never end..
Sio mchezo kaka, awamu ya Tano tutaona mengi, kila mtego unafyatuka bila windo. Sasa watu wanataka wazungu wawatoeNoma sana
Yay [emoji4] [emoji4]Mimi nashinda nao mda wote ila hawajanivutia Mimi ngozi nyeusi tu
hahahahhahaKuwajua wakazi wa Chattle wala uhitaji kutumia nguvu nyingi sana!