Namna ya kuwafikia wateja wako kirahisi

DALALI MKUU

JF-Expert Member
May 7, 2022
1,487
2,739
Bulk sms ni mfumo unaomuweza mfanyabiashara,taaisisi au kampuni kuwa na uwezo wa kuwatumia watu wengi sms kwa wakati mmoja(hadi sms 1M) Ikiwa na Sender ID Ya kampuni ama taasisi yako

Mfumo Huu ni wa kisasa na ni wa haraka sana Ambao unakusaidia kuwafikia wateja wako Kwa urahisi zaidi kwa Gharama nafuu sana

Hizi bulk sms ni kama zile sms unatumia na mitandao ya simu au Tanesco,dawasco na.k yaan hata kama mtu hana namba yako moja kwa moja inapoenda inaenda ikiwa na SENDER ID ya,badala ya kwenda number

Kwa wale wafanyabaishara wanaohitaji kutumia mfumo huu, tunatoa mafunzo na kukuunganisha kwa gharama nafuu sana.

Twende na teknolojia usikubali kubaki nyuma

Mwneye anahitaji ani PM
 
Mfano wa Bulk sms ni kama hizi
msg-sms-examples.png
 
Hao watu wa kuwatumia nyie mko nao?
Hapana Mkuu wewe ndio unakuwa una data base ya wateja wako ama watu wako so kama kuna offer ama promotion yoyote unawatumia wote kwa pamoja zinafika ina maana kama duka lako linaitwa TAJIRI KICHWA inakuwa ndio sender id yako huhitaji line wala simu. hata siku za sikukuu unakuwa una wa wish nao wanajiona sehemu ya baishara ama kampuni yako
Karibu
 
Bulk sms ni mfumo unaomuweza mfanyabiashara,taaisisi au kampuni kuwa na uwezo wa kuwatumia watu wengi sms kwa wakati mmoja(hadi sms 1M) Ikiwa na Sender ID Ya kampuni ama taasisi yako

Mfumo Huu ni wa kisasa na ni wa haraka sana Ambao unakusaidia kuwafikia wateja wako Kwa urahisi zaidi kwa Gharama nafuu sana

Hizi bulk sms ni kama zile sms unatumia na mitandao ya simu au Tanesco,dawasco na.k yaan hata kama mtu hana namba yako moja kwa moja inapoenda inaenda ikiwa na SENDER ID ya,badala ya kwenda number

Kwa wale wafanyabaishara wanaohitaji kutumia mfumo huu, tunatoa mafunzo na kukuunganisha kwa gharama nafuu sana.

Twende na teknolojia usikubali kubaki nyuma

Mwneye anahitaji ani PM
Mkuu mimi nashindwa kutumia MMS tatizo nini? Inabeba adi images lakini haziendi.
 
Hapana Mkuu wewe ndio unakuwa una data base ya wateja wako ama watu wako so kama kuna offer ama promotion yoyote unawatumia wote kwa pamoja zinafika ina maana kama duka lako linaitwa TAJIRI KICHWA inakuwa ndio sender id yako huhitaji line wala simu. hata siku za sikukuu unakuwa una wa wish nao wanajiona sehemu ya baishara ama kampuni yako
Karibu

Je kama hawapendi kutumiwa jumbe katika simu zao. Vipi wakikublock na wakaona unazingua unasumbua
 
Bulk sms ni mfumo unaomuweza mfanyabiashara,taaisisi au kampuni kuwa na uwezo wa kuwatumia watu wengi sms kwa wakati mmoja(hadi sms 1M) Ikiwa na Sender ID Ya kampuni ama taasisi yako

Mfumo Huu ni wa kisasa na ni wa haraka sana Ambao unakusaidia kuwafikia wateja wako Kwa urahisi zaidi kwa Gharama nafuu sana

Hizi bulk sms ni kama zile sms unatumia na mitandao ya simu au Tanesco,dawasco na.k yaan hata kama mtu hana namba yako moja kwa moja inapoenda inaenda ikiwa na SENDER ID ya,badala ya kwenda number

Kwa wale wafanyabaishara wanaohitaji kutumia mfumo huu, tunatoa mafunzo na kukuunganisha kwa gharama nafuu sana.

Twende na teknolojia usikubali kubaki nyuma

Mwneye anahitaji ani PM
duh hi nzuri.Nitumiye namba inbox.
 
Hapana Mkuu wewe ndio unakuwa una data base ya wateja wako ama watu wako so kama kuna offer ama promotion yoyote unawatumia wote kwa pamoja zinafika ina maana kama duka lako linaitwa TAJIRI KICHWA inakuwa ndio sender id yako huhitaji line wala simu. hata siku za sikukuu unakuwa una wa wish nao wanajiona sehemu ya baishara ama kampuni yako
Karibu
safi sana iwe hivyo.Nitumiye namba iwe hapa au inbox kwa mazungumzo zaidi.
 
Back
Top Bottom