Head Gelo
Senior Member
- Oct 7, 2018
- 122
- 210
- Thread starter
- #61
Admission ninazo vyuo viwili, ila ufadhili ndo sijapataUlikua na lengo nzuri sijui!!! Make nimeona wadau wengi waneleta utani mwingi adi maana ya Uzi umearibika tena; japo na Mimi pia nimekua na hitaji kama yako hiyo. Nimepata admission lakini ufadhili sijapata na lengo langu ni kupiga Shule kule Arusha nikiwa nasimamia mambo yangu