Namna ya kutafuta scholarship ya masters

Namna ya kutafuta scholarship ya masters

Wadau habari zenu jamani ninayo admission letter ya kusoma masters yangu chuo kimoja hapa nchini nili apply mwaka huu ila hata mwakani naweza soma mana huwa ina expire ndani ya miaka miwili


Mwaka huu sijaenda mana ada naona ndefu alafu siwezi kuilipa nitakwamisha mambo mengine, nawezaje kupata ufadhili wa hapa hapa nchini, mana sitaki kusoma nje ya nchi

Naomba ni link na nafasi za kupata scholarship please
I dont beleive you, no one dont want to study abroad, in abroad you get more experience, those countries are much more advanced than tz, or maybe you got your bachelor degree in a way not genuine, anyway what do you want to study pls
 
I dont beleive you, no one dont want to study abroad, in abroad you get more experience, those countries are much more advanced than tz, or maybe you got your bachelor degree in a way not genuine, anyway what do you want to study pls
Duh hebu tumia kiswaz Kuliko hizi broken zako.

Mimi sitaki kusoma abroad nina sababu zangu za msingi, usilazimishe tufanane,
Acha kuzarau nchi yako najivunia Tz


So kila asiyetaka kwenda nje labda kafoji vyeti hahah, duh jaribu kufikiri nje ya box nimesoma from olevo advance chuo na kuajiriwa unaweza kuwa na fojaring yeyote kweli zama hizi za magufuliii??????
 
Duh hebu tumia kiswaz Kuliko hizi broken zako.

Mimi sitaki kusoma abroad nina sababu zangu za msingi, usilazimishe tufanane,
Acha kuzarau nchi yako najivunia Tz


So kila asiyetaka kwenda nje labda kafoji vyeti hahah, duh jaribu kufikiri nje ya box nimesoma from olevo advance chuo na kuajiriwa unaweza kuwa na fojaring yeyote kweli zama hizi za magufuliii??????
walio foji mbona wapo tena sio wachache.. na nizama hizi hizi... ebu pata wakati wa kutafakari kidogo...!

ukiwa na sababu zako za msingi ni jambo jema Ila tusi dharau au kejeri kwa wengine... si poa
 
Hahahah haya itakuwa raha mana nitakula bata vi assignment utakuwa unamaliza ba mjengo
Hahaaa...
Hamnaa... kusoma utasoma na kazi utafanya ila nawezajikuta nasoma nawewe coz yako hatakama ckuwa na mpango na shule. Mawivu haya wacha kabisa.
 
walio foji mbona wapo tena sio wachache.. na nizama hizi hizi... ebu pata wakati wa kutafakari kidogo...!

ukiwa na sababu zako za msingi ni jambo jema Ila tusi dharau au kejeri kwa wengine... si poa
Nina sababu za msingi za kijamii zaidi

Na siyo kama alivotia shaka
 
Wadau habari zenu jamani ninayo admission letter ya kusoma masters yangu chuo kimoja hapa nchini nili apply mwaka huu ila hata mwakani naweza soma mana huwa ina expire ndani ya miaka miwili


Mwaka huu sijaenda mana ada naona ndefu alafu siwezi kuilipa nitakwamisha mambo mengine, nawezaje kupata ufadhili wa hapa hapa nchini, mana sitaki kusoma nje ya nchi

Naomba ni link na nafasi za kupata scholarship please
Umeshapata mume?? kama bado nikusomeshe
 
Ulikua na lengo nzuri sijui!!! Make nimeona wadau wengi waneleta utani mwingi adi maana ya Uzi umearibika tena; japo na Mimi pia nimekua na hitaji kama yako hiyo. Nimepata admission lakini ufadhili sijapata na lengo langu ni kupiga Shule kule Arusha nikiwa nasimamia mambo yangu
 
Back
Top Bottom