Namna ya kutafuta scholarship ya masters

Head Gelo

Senior Member
Oct 7, 2018
122
210
Wadau habari zenu jamani ninayo admission letter ya kusoma masters yangu chuo kimoja hapa nchini nili apply mwaka huu ila hata mwakani naweza soma mana huwa ina expire ndani ya miaka miwili


Mwaka huu sijaenda mana ada naona ndefu alafu siwezi kuilipa nitakwamisha mambo mengine, nawezaje kupata ufadhili wa hapa hapa nchini, mana sitaki kusoma nje ya nchi

Naomba ni link na nafasi za kupata scholarship please
 
kuna baadhi ya vyuo vina to a kupitia college zake... sijui umeomba coz gani na chuo gani... kuna baadhi ya taasisi za serikali pia zinatoa hizo huduma MF. BOT umri uzingatiwa hapa na ufaulu... sijui una umri wa range ipi na umemaliza digree ya kwanza mwaka gani... kama ni muajiriwa wa taasisi za serikali huwa kuna fungu la kusomesha wafanyakazi wake... na baadhi ya taasisi hujiwekea taratibu za kwenda kusoma kwa awamu... pia mifuko ya hifadhi ya jamii huwa wanatoa hizo fursa kama we we ni mchangiaji au mwanachama... kuna baadhi ya taasisi pia wana saidia katk kusomesh vijana.... tatizo kubwa ni umepata chuo gani na coz gani maana kuna taasisi za nje Mara nyingi upendelea chuo cha DSM... ifm... aru... udom wanazo za kwao za kila college hivyo jipambanue ili ueleweke
 
Mimi natangaza nia...lakini jifunze ku quote kwanza
Malengo yangu yalikuwa niwe na mume ndo nikasome masters ila yalotokea ndoto zikazimika dahhh wanaume nyie Mungu anawaona

Sasa acha niende tu shule, mume atanikuta huko huko
 
Duh kuna uzi wako moja nimeusoma umenimiza na kunifunza jambo. Mungu akubaliki kwa kila hitaji la moyo wako na Siku zote usimsahau mama.
 
Back
Top Bottom