Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 361,358
- 832,510
Watu hupenda kuwa na alama mbalimbali za kujitambulisha, hata hapa JF kuna watu hutumia alama kwenye avatar zao
Kuwa makini na alama unayotumia kwakuwa kiroho hukutmbulisha hivyo na kuipa nguvu ya kutenda katika ulimwengu halisi
Unatafuta vipi alama yako halisi? Fanya hivi
1. Tafuta sehemu iliyokuwa kimya na tulivu
2. Kaa katika mkao wa tahajudi kwa utulivu
3. Vuta hisia za ngazi... Yaani tengeneza ngazi akilini mwako
4. Weka nia ya kuipata alama yako juu mwisho wa ngazi
5. Vuta hisia halisi za kuanza kupanda ngazi yako
6. Panda kihisia mpaka juu kabisa
7. Cha kwanza utakachokiona mawazoni mwako juu mwisho wa ngazi ndio alama yako kiroho... Itumie hiyo kwa mambo yako... Unaweza ichapa kwenye vitu vyako, kuitumia kama avatar, kuitumia kwenye manuizi na viapo! Wengine hujichora tattoo ya alama zao
Ukiweza kuipatia alama yako kwa usahihi utakuwa umezalisha roho yenye nguvu hata kwenye mambo ya kulaani na ushirikina hivyo kuwa mwangalifu sana
Njia ya tahaduji ni ngumu hivyo baadhi hutumia bangi kupata imagination husika ama ulozi lakini hizi ni njia bandia na zenye madhara mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
sina