Chick_tz
JF-Expert Member
- Mar 2, 2025
- 2,446
- 3,297
Uzi umekua wa salam ngoja nichekePoaaa
Uzi umekua wa salam ngoja nichekePoaaa
IPO imeanzishwa 2022 nadhani alipoingia waziri Mkenda
Kwa niniSio kweli
Shukrani kwa taarifaIPO imeanzishwa 2022 nadhani alipoingia waziri Mkenda
Mimi sijawai kufeli na o_level government day school wilayani hukoo ndaaani ndio nikaenda shule ya vipaji maalumu.Uzi umekua wa salam ngoja nicheke
Sio shule zote zinatoa hiyo combination zote zilizo chaguliwa zina miundombinu kwa ajili ya hilo somo kwa hiyo swala la theory hakunaKwa nini
Upo sayar gani🤣?
Bruh me nikimaliza level flani ya elimu huwa sifatilii mzeeUpo sayar gani🤣?
Sahihi kabisaSio shule zote zinatoa hiyo combination zote zilizo chaguliwa zina miundombinu kwa ajili ya hilo somo kwa hiyo swala la theory hakuna
Kuwa form V ni mateso makali kuliko jehenam kwenye baadhi ya shule.Oyaaah we fom v unaekuja hapo secretarybird umekuj na sukari
Nakumbuka baada ya kuhamia hapo shuleni kwenu bhn,Kuwa form V ni mateso makali kuliko jehenam kwenye baadhi ya shule.
Dr am 4 real PhD unajua taabu waipatayo form five pindi wanapowasili katika maeneo yao ya kujisomea?
Najua ni zaidi ya gwantanamo bay yaan ni mateso bila chuki.Kuwa form V ni mateso makali kuliko jehenam kwenye baadhi ya shule.
Dr am 4 real PhD unajua taabu waipatayo form five pindi wanapowasili katika maeneo yao ya kujisomea?
Kuna sehemu tulikuaga tunachota maji panaitwa """"IKEMEFUNA"""Nakumbuka baada ya kuhamia hapo shuleni kwenu bhn,
Fom V, ilikuwa ni usafi afu saa kumi na moja ilikuwa kusugua upstairs, na downstairs oyaah
Kuna kudeki dining wenyewe mnaita Dihechi 😂 aseeh so poa
nina jamaa zangu toka nifike hapo lya uboyzn wanaumwa mpk Pepa la mwishoKuna sehemu tulikuaga tunachota maji panaitwa """"IKEMEFUNA"""
PALE HUKAI UKIWA MTOTO WA MAMA MIXER BARIDI KALI KAMA TUPO MALANGALI HIGH SCHOOL🤓
Kasema atamuomba mond amalizie ikishindikanaDoto magari anakunja makompasi ya hela na kaishia la 4, Baba levo kaishia la7 sasa anajenga ghorofa,
Ana skills za uchawa, 1.3 haitakufanya umuombe Mondi akusaidieKasema atamuomba mond amalizie ikishindikana