Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 20,381
- 42,307
Mimi pia misosi sikuipenda na niliogaga Mara chache Sana pengine Mara moja kwa mwezi 🏃🏃nina jamaa zangu toka nifike hapo lya uboyzn wanaumwa mpk Pepa la mwisho
Mimi pia misosi sikuipenda na niliogaga Mara chache Sana pengine Mara moja kwa mwezi 🏃🏃nina jamaa zangu toka nifike hapo lya uboyzn wanaumwa mpk Pepa la mwisho
Hahahaha daah 😂Mimi pia misosi sikuipenda na niliogaga Mara chache Sana pengine Mara moja kwa mwezi 🏃🏃
Hahaha htree mzeeAna skills za uchawa, 1.3 haitakufanya umuombe Mondi akusaidie
Kabisa,sizani km kuna computer zakutosha huko mashukeni hasa za serikalini,private najua wanajitahidi sanaIla elimu ya Tanzania ni ya ajabu sana, wanafunzi wanaweza wakafundishwa hilo somo la computer kinadharia hadi wakamaliza bila vitendo.
Ana skills za uchawa, 1.3 itakufanya umuombe Mondi akKasema atamuomba mond amalizie ikishindikana
Sio Mimi ni baba levoAna skills za uchawa, 1.3 itakufanya umuombe Mondi ak
Nasikia hata Maputo ya juu na ya chini mlikuwa mnayasugua mno.Nakumbuka baada ya kuhamia hapo shuleni kwenu bhn,
Fom V, ilikuwa ni usafi afu saa kumi na moja ilikuwa kusugua upstairs, na downstairs oyaah
Kuna kudeki dining wenyewe mnaita Dihechi 😂 aseeh so poa
Hahaha 😂, Yale maisha yalikuwa balaa sana.Najua ni zaidi ya gwantanamo bay yaan ni mateso bila chuki.
Nimeishi u Boyzin hatare Sanaa Maisha ya uji na ugali harage ambao ukimpa ugali nguruwe anagoma kulaa
Hapana sijawahi nisidanganye Ila Dom tulidekiNasikia hata Maputo ya juu na ya chini mlikuwa mnayasugua mno.
Ila tulitoboa kibishi bishiHahaha 😂, Yale maisha yalikuwa balaa sana.
Ila mambo ya kitanzania yatabaki kuwa ya Tanzania.Kabisa,sizani km kuna computer zakutosha huko mashukeni hasa za serikalini,private najua wanajitahidi sana
Shuleni pale kulkuwa na Tigo Wifi na PC lkn hatujawah ziona mpk tunaondk maninaaIla mambo ya kitanzania yatabaki kuwa ya Tanzania.
Sisi ni watu wa nyuma daima kwa sababu tumeamua kuwa wa nyuma.
Tuanze kwanza ,umepangiwa/unapelekwa shule gani?JAMAN BROTHERS NAENDA F5 COMB YA PMC(PHY,MATHEMATICS,COMPUTER) NATAMAN KUPATA DIVISION 1.3 NAOMBENI USHAURI WENU NA TECHNIQUE ZA KUSOMA
Hahaha 😂😅Hapana sijawahi nisidanganye Ila Dom tulideki
Tabia iliyokuwa unanikera ni ile ya kuogeshana kwa kutumbukizana kwenye mfereji wa maji baridi.Ila tulitoboa kibishi bishi
Shule za Tanzania zina utapeli mwingi sana.Shuleni pale kulkuwa na Tigo Wifi na PC lkn hatujawah ziona mpk tunaondk maninaa
Hahahaha sanaShule za Tanzania zina utapeli mwingi sana.
Imeanza lini hiyo combi?,,
Ndani ya miaka miwili nilioga hazifiki 30Tabia iliyokuwa unanikera ni ile ya kuogeshana kwa kutumbukizana kwenye mfereji wa maji baridi.