Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,508
- 6,891
Uzuri mmoja ninao upendea kwenye hiki "kifo" cha Chadema ni hu; uchaguzi wa wabunge popote ambapo Chadema "mfu" imeshiriki, ccm wametangazwa kwa msaada wa police, najiuliza tu, "sijui kwanini police wanahangaika na WAFU" maanake maiti wala hua hazisemi!
Nimepiga kura chaguzi zote ambazo umezitolea mfano, CUF umeipa tu sifa isizo stahiri, CUF haijwahi kuwa tishio bara kama Chadema na in fact hata nusu tu haijafikia, NCCR-Mageuzi labda but nayo ni kwa mwaka mmoja tu; again umaarufu wa NCCR-Mageuzi mwaka ule sio wa Mrema pekee yake (sina maana Mrema hakuchangia, but him sio pekee aliyeleta msisimko) Uchaguzi wa Zambia mwaka 1992 na Malawi vilichangia sana kuona pia hata Tanzania tunaweza kukiondoa chama tawala madarakani, washukuru Nyerere alifanya yake.
Nimepiga kura chaguzi zote ambazo umezitolea mfano, CUF umeipa tu sifa isizo stahiri, CUF haijwahi kuwa tishio bara kama Chadema na in fact hata nusu tu haijafikia, NCCR-Mageuzi labda but nayo ni kwa mwaka mmoja tu; again umaarufu wa NCCR-Mageuzi mwaka ule sio wa Mrema pekee yake (sina maana Mrema hakuchangia, but him sio pekee aliyeleta msisimko) Uchaguzi wa Zambia mwaka 1992 na Malawi vilichangia sana kuona pia hata Tanzania tunaweza kukiondoa chama tawala madarakani, washukuru Nyerere alifanya yake.