Mke anashinda kwa mashosti na kufwata ushauri wa mashosti zaidi ya mme wake unategemea kutakuwa na maadili ya kimungu? haiwezekani kabisa.
na waume wanashinda baa wanapata ushauri wa marafiki yaan ni tabu tupu ndoa za siku hizi,
Mke anashinda kwa mashosti na kufwata ushauri wa mashosti zaidi ya mme wake unategemea kutakuwa na maadili ya kimungu? haiwezekani kabisa.
Sijakataa kama utakuwa katika point zingine sio kwa mke na mme....Tukizungumzia point ya mke kama hamuogopi mme wake, lazima kuna ukosefu tu waheshima hapo....Mana anaweza kwenda popote bila ya kumuaga mme wake, na mengi tu anaweza kufanya sababu hamuogopi mme wake.
Hao wanawake wanao pigwa na wanaume zao ni wehu/walevi tu kama wanaume zao, kuna sheria zipo zinaweza kuwakinga hao lazima ni wehu/walevi kama wanaume zao ndo mana wanavumiliana mana kuna kasoro kwenye ndoa zao....Niliyoyaandika hapa ni maneno ambayo nimeyasikia kwa akina mama ambao wanapata vipigo ndani ya ndoa zao wengine ni ndugu wa karibu kabisa kwamba wanawaogopa waume zao kutokana na vipigo na wanapokuwa hawapo nyumbani wanajiona wako huru zaidi lakini waume wakirudi tu basi uoga huwajaa kwa kujua kosa dogo linaweza kusababisha kipigo.
Kutofautiana hakuna tatizo lolote au vinginevyo tungekuwa tunakubaliana kila kitu basi hili jamvi lingekuwa halina mvuto kabisa. Bado msimamo wangu ni ule ule kwamba hakuna sababu yoyote ya mke kumuogopa mumewe bali anatakiwa kumuheshimu. Ukiona mke anamuogopa mumewe basi ujue kuna walakini wa namna moja au nyingine.
Sa hamaki ya nini tena, si unajua kwenye ukweli lazima ulize watu...kasome vitabu vya dini vyote vinapinga sex before marriage.fazaa
Wewe ndio msemaji wa Mungu? Hayo unayoongea umeyapata wapi? Kama ni maoni yako tu basi yabaki kama yalivyo, ila kama una uhakika kwamba Mungu ndivyo anavyofanya kazi naomba vilelezo vya uhakika.
.
Nimekubali point nyingi hasa za wale wanaotaka kuolewa; ila kwa wenye ndoa maisha ni more complicated na wengi tu wenye heshima kwa waume zao ndoa zao ziko ndivyo sivyo. Na huwezi sema kuwa mumeo achiti ni siri ya moyo wake; ila ni vizuri ku think positive na kujipa moyo.
Inategemea na mume ulo nae; wengine hata walambwe hawakamatiki. Hence it takes two.
Sa hamaki ya nini tena, si unajua kwenye ukweli lazima ulize watu...kasome vitabu vya dini vyote vinapinga sex before marriage.
Well said Mama Ashrat lakini waweza fanya mambo yote hayo na mwisho wa siku ukaambulia carbondioxide,hawa watu hawatabiriki at all..
nyumba kubwa
Wanaoanza na waliomo lazima watofautiane kiutendaji. Mtu anapokuwa kwenye ndoa anatakiwa afanye kazi haswa maana majukumu yanaongezeka, familia inaongezeka na mengine mengi tu.
Swala la kuwa amechiti au la ndio maana niliishia kusema kwamba sijawahi kuhisi wala kugundua, hivyo kama amewahi basi atakua amefanya kazi ya ziada kitoruhusu ilete mabadiliko yoyote kati yetu. Mwisho wa siku tabia binafsi inahusu zaidi kuliko matendo ya mwenzi, mhuni ni mhuni tu na mtulivu ni mtulivu tu, hivyo la muhimu ni mke/mume kufanya yale awezayo yeye na yasipomtosheleza huyo mwenzi basi hafai tu.
Hao wanawake wanao pigwa na wanaume zao ni wehu/walevi tu kama wanaume zao, kuna sheria zipo zinaweza kuwakinga hao lazima ni wehu/walevi kama wanaume zao ndo mana wanavumiliana mana kuna kasoro kwenye ndoa zao.
Narudia tena mwanaume ambaye akili yake iko sawa sawa hapigi mke wake, hata siku moja.
Kuhusu kipishana mawazo niko na wewe hapo :A S shade:
Kama sijaona tatizo basi nachukulia kwamba hamna tatizo. Kama lipo litakua acknowledged wakati huo litakapokuwa wazi, but untill then we are good.Kwa hiyo ni ngumu kujua kama hizo point zinafanya kazi kama huna uhakika kama kwa kuzitumia hizo njia wako amekamatika au hapana. Labda tu define "kumkamata" kuna maana gani. Kama ni kuendelea kuwa mwenye ndoa no matter what hapo poa na mimi nakubali kabisa. Kwa maana ya kuwa na uhakika mumeo hawezi tamka hata siku moja kuwa ndoa na wewe basi. Hiyo wanawake wengi tuko assured. Lakini kama atu shei na wengine mh; ngumu kuamini.
Vizuri kama hujahamaki...Sijahamaki ila nimeuliza maswali ambayo ni dhahiri huna majibu yake, mpaka hapo ulichosema mwanzo hakina basis hivyo ni vizuri tukafunga huo mjadala na kuendelea na mingine kama ipo.
BAK umeongea kitu muhimu sana. Sio ex tu ama watoto, kuna issue ya wanafamilia wakorofi pia. Hii tabia (hasa ya wadada) ya kujifanya unatokea familia takatifu is really disgusting. Hata kama babako mchawi muambie mwenzio, ajue u don't side with mambo yake. Ili hata huko mbele ya safari akikusakama nao umuambie the loss is his asiwacheke ndugu zako manake nao ni sehemu yenu.
Asante rafiki.
Hao wanawake wanao pigwa na wanaume zao ni wehu/walevi tu kama wanaume zao, kuna sheria zipo zinaweza kuwakinga hao lazima ni wehu/walevi kama wanaume zao ndo mana wanavumiliana mana kuna kasoro kwenye ndoa zao.
Narudia tena mwanaume ambaye akili yake iko sawa sawa hapigi mke wake, hata siku moja.
Kuhusu kipishana mawazo niko na wewe hapo :A S shade:
Well said Mama Ashrat lakini waweza fanya mambo yote hayo na mwisho wa siku ukaambulia carbondioxide,hawa watu hawatabiriki at all..
Ni kweli Purple, ila katika maisha, it pays to play your part!
Babu DC!!
Si unajua mtu aliye ona mwezi anaweza kusema unamulika kuliko jua.Mkuu fazaa
This is too much...kama huamini kwamba wapo wanawake wenye akili, hekima, busara na utaalamu wao lakini wanakuwa absued basi nakuomba ukae kimya. Tumeshuhudia mama zetu, dada zatu, watoto wetu na sasa wajukuu wanapigwa na wanaume na bado wana akili nzuri. Labda kama mwenzetu ni mgeni katika tamaduni zetu!
Naomba pia kukujuvya kwamba kuna wanaume nao wanapigwa na wake zao na hawako tayari kuchukua hatua za kisheria.
Babu DC!!
sure!ni jambo jema kutimiza wajibu wako kuepuka majuto pindi mambo yaendapo mrama..