Wakaka huwa ni mateka kwenye mapenzi. Aliyeniteka sijawahi kumsaliti hata siku 1, kuna kipindi nahisi labda kanipa dawa.
Hapo ndipo tatizo. Mwnamke ukimpenda mpaka kuacha kufikiria wanawake wengine unaanza kufikiria kwamba kuna karimbwata kumbe anajua kuhandle