Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,884
Kuna micontacts imeng'ang'ania kweny contacts list yangu na sitaki kuiona. Mtu sio rafiki yangu sina namba yake ya simu lakini namuona kwenye list yangu, sitaki.....mwenye kujua jinsi ya kufutilia mbali anielekeze.......nachukia sana........
Na wewe kama unajua hatuna mawasiliano (sio rafiki yangu) na nipo kwenye list yako naomba unifute..........
Na wewe kama unajua hatuna mawasiliano (sio rafiki yangu) na nipo kwenye list yako naomba unifute..........