Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 139
.
Mimi najua jinsi ya ku-BYPASS Admin Password au Ku-RESET password! ... ni rahisi sana kama 3 seconds tu .. na wala huhitaji fresh instal wala LIVECD wala SLAX wala LIVEBOOT.
Wasiwasi wangu ... ni kuwa niki-share hii tip na watu hapa jamvini ... watu wa kawaida hawatakuwa tena salama katika matumizi ya computer zao tena ... maana watu wasio waaminifu watakuwa wanazifungua comp ambazo si zao.
Ingawa nina knowldege hiyo but siwezi kushare alafu watu wakai-abuse! - so unless niwe na uhakika ni comp ya muhusika mwenyewe ntampa - tip
.
mkuu nimeku_pm