Huo mlango ni mlango wa mfuko wa uzazi au..Hello ndugu zangu naomba kuelimishwa namna gani naweza kuunganisha fingerprint kwenye mlango na smartphone. Mwenye uelewa a share na mimi.
Nahitaji kuongeza watumiaji wa mlango na kuset password zao.
Karibuni wadau
Ongeza haka kadude.Hello ndugu zangu naomba kuelimishwa namna gani naweza kuunganisha fingerprint kwenye mlango na smartphone. Mwenye uelewa a share na mimi.
Nahitaji kuongeza watumiaji wa mlango na kuset password zao.
Karibuni wadau
Haka si ka mwenye PC ila inatakuwa ifanyike kwenye simu ,yani monitoring yake ifanyike kwenye Simu.Ongeza haka kadudeView attachment 2128040
Nadhani kuna app yake unaweza ku downloadHaka si ka mwenye PC ila inatakuwa ifanyike kwenye simu ,yani monitoring yake ifanyike kwenye Simu.
jamaa anataka kuleta ukudaWewe ni HR mnoko
jinga sana hili jamaa. Biometric ni unoko tujamaa anataka kuleta ukuda
Sometimes hakuna namna hasa kama ukiishi na wasiojitambua.. Sasa hivi naelewa ni kwanini hata majokofu yana kufulijinga sana hili jamaa. Biometric ni unoko tu
Unajua ufanisi kazini haupimwi kwa maudhurio, bali utendaji na ku-deliver. Mwisho wa siku ni kitu gani mfanyakazi anachangia kufikia malengo ya mwajiri. So HR wengi hawajielekezi katika kuhakikisha mfanyakazi anatumika vizuri, wako very mechanical.Sometimes hakuna namna hasa kama ukiishi na wasiojitambua.. Sasa hivi naelewa ni kwanini hata majokofu yana kufuli