Nahitaji course ya Mashine learning au IA

proxy

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
1,468
1,329
Hello ndugu zangu habari za Muda huu, Matumaini yangu mnaendelea vizuri na majukumu ya ujenzi wa Taifa.

Ni Kwa namna gani naweza soma au jifunza hizi course tajwa hapo juu? Kama kuna yeyote mwenye muongozi nahitaji msaada.
 
Ninayo iyo andaa 15k kama unataka ni Fresh from Udemy yenye rate ya nyota 5 kabisa ukihitaji DM nimeuza sana hizi kozi
NB: Uwe na 15k mkononi
Zaidi soma>>
 
JF ML researcher wapo wa kuhesabu.

AI kiujumla lazima uwe deep kidogo kwenye hesabu.

Una background ya statistics au analytics?
 
Ninayo iyo andaa 15k kama unataka ni Fresh from Udemy yenye rate ya nyota 5 kabisa ukihitaji DM nimeuza sana hizi kozi
NB: Uwe na 15k mkononi
Zaidi soma>>
Nadhani ML ni zaidi ya kuunda app au website.

Je Content za hiyo tutorial ni zipi?, zinaanzia basic kabisa
 
Kwa kuanzia kuna youtube videos free za hizi topics. Kuna video za hadi masaa 30. Zinaanza kwanzia intro level, basic level mpaka adavnce level. Plus tools za kutumia pia zipo za free. Inahitaji dedication tu. Unahitaji kujua hesabu za statistics na probability. Uwe na uwelewa wa programing language ya python au R. Kila la kheri mkuu.
 
Kwa kuanzia kuna youtube videos free za hizi topics. Kuna video za hadi masaa 30.
Una maanisha video za freecodecamp?
Zinaanza kwanzia intro level, basic level mpaka adavnce level. Plus tools za kutumia pia zipo za free.
Naomba link. Video karibia zote ni advance, ziaanzia model architecture. Hata hizo zilizoandikwa basic
Inahitaji dedication tu. Unahitaji kujua hesabu za statistics na probability. Uwe na uwelewa wa programing language ya python au R. Kila la kheri mkuu.
Python kwa beginners 100%
 
Nadhani ML ni zaidi ya kuunda app au website.

Je Content za hiyo tutorial ni zipi?, zinaanzia basic kabisa
Screenshot_20240309-225735_1.jpg

Ni yeye na utashi wake tu .
Screenshot_20240309-230045_1.jpg
 
Hamna cha utashi, ingekua ni utashi ung'ekuta ML researcher wamejaa mtaani, Unaazaje kusoma regression na linear (logit na pobit) huna degree au masters ta Mathematics au Economics.

Machine learning ni models. Utajuaje model ni bias, data distribution ect bila ya foundation za statistics?

Hizi ni advance sio advance tu ni professional level. Hapa utapoteza mda wa ku copy na kupest code tu, beginner hautaelewe chochote.

Pale mwanzo niliuliza kama ana ana degree ya statistics , analytics au Economics anaweza ku subscribed kwenye hii course yako.


Lkn kama hana, jaribu kumta zile basics labda za Image Classification, Recommended system, Computer visions na nyiginezo ambazo sio ngumu sana.
 
Nenda YouTube akaunti ya Stanford university utafute course ya Andrew Ng mwanzilishi wa Google brain na alikuwa Team leader wa Baidu AI Research, kila lecture ina zaidi ya lisaa, Kwa practical tafuta kitabu kinaitwa dive into deep learning ni bure, Kama hauna laptop yenye GPU, tumia Google colab, pia tumia keggle kuna kozi na competition, itumie maana kuna dataset nyingi

Natumai mathematics sio tatizo
 
Asante sana Kwa michango yenu, kiujimla Sina Degree ya Statistics Wala hesabu, ila nimesoma computer science na Information Security, hesabu nilisima advance.
 
Asante sana Kwa michango yenu, kiujimla Sina Degree ya Statistics Wala hesabu, ila nimesoma computer science na Information Security, hesabu nilisima advance.
Kwa mujibu wa Prof Andrew Ng, walau Advance Mathematics inatosha labda kama una plan ya kuwa Researcher kudesign ml algorithms mpya, na kwa kuhamasika zaidi ziangalie projects za ML za wanafunzi wa stanford
 
Binafsi kama ningepata mtu wa Kuni guide ingependeza sana maana nahitaji kuitumia kwenye research yangu, au kama kuna yeyote mwenye uzoefu wa research za namna hii anisaidie.
 
Hello ndugu zangu habari za Muda huu, Matumaini yangu mnaendelea vizuri na majukumu ya ujenzi wa Taifa.

Ni Kwa namna gani naweza soma au jifunza hizi course tajwa hapo juu? Kama kuna yeyote mwenye muongozi nahitaji msaada.
Unahitaji kwa ajili ya nini. Elewa kuwa sehemu kubwa ya machine learning ni statistics, na nyingi hufanya classifications tu za kutambua patterns kwenye data.

AI ina vibranches vingi kidogo, siyo tu kwamba ni somo moja kubwa la AI. Kuna fundamentals za AI kama vile predicate calculus, knowledge representation na inferential rules; baada ya hapo unaanza kuingia ndani kwenye kudevelop specific applications kama hizi zinazojulikana sana leo za ChatGPT na nyinginezo.
 
Hello ndugu zangu habari za Muda huu, Matumaini yangu mnaendelea vizuri na majukumu ya ujenzi wa Taifa.

Ni Kwa namna gani naweza soma au jifunza hizi course tajwa hapo juu? Kama kuna yeyote mwenye muongozi nahitaji msaada.
Njoo nkupe full package course ya Machine learning, ML and Ai, Data science
Iko kwa mtindo wa videos, ni course kama unazoona wanauza Coursera nk. Inaanza Kukuelekeza kama Beginner kuanzia coding ya Python,Ruby nk.

Then utafunzwa Algorithms mbaliiimbali na application zake, n etc .
Karibu nkup kwa hela kidgo,
 
Asante sana Kwa michango yenu, kiujimla Sina Degree ya Statistics Wala hesabu, ila nimesoma computer science na Information Security, hesabu nilisima advance.
Unaweza Soma, fresh .
Kama ushacheza na Pure 1 n 2. Basi unaweza piga haya mazaga, by the way Number za ML, Ai, data Science sio ngumu kawaida. Sema uwe na kichwa cha kuweza kuelewa tu. Ila usitake kusoma course umalize haraka

Jifunze , practice ingia ktk challenges za mitandaoni, shiriki humo okay. Ktk kipindi cha miezi sita kama umenuia utakuwa okay

Make sure kila siku una spend 20 minutes kujifunza kitu kipya ,zilizo baki chezea code na ku manuever. Hata kama kitu unaona simple kwa kuelewa practice mara nyingi.
 
Hello ndugu zangu habari za Muda huu, Matumaini yangu mnaendelea vizuri na majukumu ya ujenzi wa Taifa.

Ni Kwa namna gani naweza soma au jifunza hizi course tajwa hapo juu? Kama kuna yeyote mwenye muongozi nahitaji msaada.
Ukitaka raha zaid, anza kwa mfululizo ufuatao in your learn journey .
Automations
Robotics, humu unajifunz hardware and Codes.
Kisha ingia ktk Ai, humo utaanza na machine Learning, Deep learning , ujifunze ku clean data, visualization n etc.

Remember, usiwe na tamaa ya maarifa na wala usitawike. Maana ktk kujifunza kimoja, utakutana na mengine mengi, usitake kuzama ktk kila kitu.

Master kitu kimoja at time, maliza kozi, then una dive ktk master level mdogo mdogo. Ukianza kujizamisha sana, utachoka mapema n utaishia kuwa mediocre.

Note.
Ktk huuu ulimwengu wa Codes n kujifunza hakuishi na wala usitake kukariri codes at per. Practice mara nyingi ukijua steps rahis tu hata ukaw umetengeneza functions zako, unaziita na kuzitumia.

All the best amigo. Welcome ktk hiii Rabbits hole.
 
Kuna program nimepata inaitwa SPSS Modeler vipi inaweza nisaidiaje kwenye kazi ya research yangu? Nahitaji kufanya research na nataka niitumie hii kufanya hiyo kazi ndugu zangu.
 
Hamna cha utashi, ingekua ni utashi ung'ekuta ML researcher wamejaa mtaani, Unaazaje kusoma regression na linear (logit na pobit) huna degree au masters ta Mathematics au Economics.

Machine learning ni models. Utajuaje model ni bias, data distribution ect bila ya foundation za statistics?

Hizi ni advance sio advance tu ni professional level. Hapa utapoteza mda wa ku copy na kupest code tu, beginner hautaelewe chochote.

Pale mwanzo niliuliza kama ana ana degree ya statistics , analytics au Economics anaweza ku subscribed kwenye hii course yako.


Lkn kama hana, jaribu kumta zile basics labda za Image Classification, Recommended system, Computer visions na nyiginezo ambazo sio ngumu sana.
Sure, ML ni prediction, kama anajua adv math, statistics & probability basi ataimudu vizuri
 
Back
Top Bottom