Namna ya kudai mahari

Namna ya kudai mahari

goodhearted

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2015
Posts
1,048
Reaction score
1,343
Ni zaidi ya miezi 6 sasa wife akiwa kwao bila sababu ya msng na wazazi wake wameamua kabisa asirudi. Naombeni msaada kuhusu namna ya kudai mahali yangu kwani naona kama ni utapel flan hivi nimefanyiwa
 
Sorr nimekosea jukwa tafdhar mod nisaidie kupeleka uzi jukwaa huska
 
Pole ndugu, Ila kiendacho kwa mganga hakirudi, we endelea na maisha yako, jua tu kwamba kuna watu na viatu.
 
Naona umechanganyikiwa kuchezewa chekundu cheusi mahari yako mkuu......kwani sh ngapi? Si ungepotezea tu
 
Mahari urudishiwe akati umemgonga miezi sita yote mkuu...! Ulitegemea umgonge bure tu au..???
 
Omba sana Mwenyezi Mungu afungue njia.. Majibu ya wanadamu yana mengi.
 
Ni zaidi ya miezi 6 sasa wife akiwa kwao bila sababu ya msng na wazazi wake wameamua kabisa asirudi. Naombeni msaada kuhusu namna ya kudai mahali yangu kwani naona kama ni utapel flan hivi nimefanyiwa
Kakimbia ulofa uliozidi ulimlaghai wakati unamuoa kuwa una pesa kumbe lofa kagundua.Ushahidi ni huo wa kudai mahari .Unaonyesha ulivyo lofa.Mahari hulipwa na wazazi wako sio wewe .Unadai usicholipa wewe kweli wewe Lofa
 
Kakimbia ulofa uliozidi ulimlaghai wakati unamuoa kuwa una pesa kumbe lofa kagundua.Ushahidi ni huo wa kudai mahari .Unaonyesha ulivyo lofa.Mahari hulipwa na wazazi wako sio wewe .Unadai usicholipa wewe kweli wewe Lofa

Hiki kijipovu ni kama kimetoka direct kwa huyo mke asiyetaka kurudi kwa mume
 
Oa mwingine, huyo tayari wameisha fukunyua huko.
 
Back
Top Bottom