teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 136
Wadau naomba kujua namna ninavyoweza ku link mistari ya biblia kwenye document ya word, yaani nikiweka link mtu akigusa inampeleka kwenye mstari huo wa biblia. Mf; soma Yohana 3;7.
Natanguliza shukrani zangu kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Natanguliza shukrani zangu kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app