Galacha Maestro
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 1,353
- 2,229
NAMNA WAZAZI WANAVYOONGEA NA MABINTI ZAO KATIKA UMRI TOFAUTI
Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
Miaka 23: Lini utatuletea mchumba wako?
Miaka 26: Wenzio wanaolewa.
Miaka 30: Tumekuambia kwamba acha
kuchagua sana wanaume, hutaki kusikia!
Miaka 33: Kuna mtu wa Mungu yupo kule
anaombea unaweza kupata mchumba
Miaka 36: At least pata mtoto mmoja.
Miaka 39: We will take care of all the wedding
bills yeyote ni sawa sisi tutagharamia kila kitu mwanetu wee mlete tu.
Miaka 45: hivi kweli nani alikuroga.?
changamkia fulsa umri ukifika.
Copied somewhere.
Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
Miaka 23: Lini utatuletea mchumba wako?
Miaka 26: Wenzio wanaolewa.
Miaka 30: Tumekuambia kwamba acha
kuchagua sana wanaume, hutaki kusikia!
Miaka 33: Kuna mtu wa Mungu yupo kule
anaombea unaweza kupata mchumba
Miaka 36: At least pata mtoto mmoja.
Miaka 39: We will take care of all the wedding
bills yeyote ni sawa sisi tutagharamia kila kitu mwanetu wee mlete tu.
Miaka 45: hivi kweli nani alikuroga.?
changamkia fulsa umri ukifika.
Copied somewhere.