Namna nilivyoweza kuacha POMBE, na kuamua starehe yangu iwe MSOSI

Sijasoma maelezo zaid ya kichwa cha habari...hongera sana kwa kuacha pombe ila mimi niko sehemu najipongeza kwa kuacha pombe kwa kunywa walau bia mbili kusheherekea wiki mbili za kutokugusa pombe.
Ww ni mlevi bado
 
Mdogo angu badala ya kuongeza speed ya kutafuta ela unywe vinywaji expensive we unakimbulia kula kula kama mtoto wa kike wa chuo....shame..hapo unachofanya unajijaza tu mimafuta na utakuja ilipia ukiwa hospital....shame...Dili zangu zote nazipata bar kikubwwa ni kunywa kwa ustaarabu
 
Habar za muda huu, ndugu zangu wana JF.

Kama tujuavyo tuliowengi ikifika mwishoni mwa mwaka...tunakwaida ya kujitathmini yale tuliyoyafanya kwa kipindi cha mwaka mzima. Katika nyanja ya mafanikio, uzembe/jitihada tulizozifanya katika kutimiza malengo tuliojiwekea.

Sasa katika kujitathmini, nikagundua...karibu 60% ya kipato nikipatacho kinaishia kwenye gambe. Nilisikitika nikajiona ni mjinga wa kujitakia.

Nikaamua kuweka nadhiri kwamba ifikapo 2021, niachane kabisa na habar za ulabu , nihamie kwenye starehe ambayo itakuwa cheaper kuliko pombe kwa namna moja au nyingine isilete matokeo mabaya katika maisha yangu.

Baada ya kutafakari kwa kina...nikaona nihamie kwenye msosi...yani vile vyakula vyote ambavyo vinafurahisha nafsi yangu ndio iwe starehe yangu pendwa.

Aisee since January kuanzia nyumban kwangu mpaka ofisini ni zaid ya super market achilia mbali misosi ya nje ya home na ofisini.

Kiukweli, natumia kiasi kidogo sana cha pesa na naenjoy sana..siwezi orodhesha vyote lakini hv nisehemu ya vyakula ambavyo havikosi kwenye ratiba zangu za kila siku...

1. Kitimoto rosti na ndizi huu mara nyingi ni mlo wangu wa jioni karibuni kila siku...siku ninazokosa ni chache sana, kinachobadilika ni aina ya mapishi tu. J3 inaweza kuwa kavu+ ndizi, J4 ikawa choma, j5 ikawa rost +vegetables, Alh ikawa makange ya ndizi mixed with kitimoto.

2. Mchemsho wa kuku wa kienyeji, Nafikir wale wahudumu wa uhuru bar ni mashahidi katika hili

3. Ugali nyama choma(Mbuzi)...napendelea zaidi nyama iwe ya nundu

4. Birian kila ijumaa huwez nikosa pale moroco kwa mama sakina

5. Wali maini ni chakula changu pendwa pia.

Achilia mbali..Makorosho, ma ice cream ya bakharesa(sio haya ma bolcon ya jerojero), na haya ma fresh juice ndio kila wakati.

Kiufupi since January naishi kama mgonjwa (Maana inaaminika Tanzania hatuli vizuri mpaka tuumwe.

MATOKEO.

Hapa ndio kwenye balaa. Mara ya mwisho nilipima nikawa na kilo 87/88, Jana nimepima nna Kg 96. Nimenenepa haraka mno kwa kipindi kifupi.

Ila kwenye upande wa financially nimeokoa hela nyingi mno.

Sasa ndugu zangu...hii lyf style nimeipenda sana tatizo naona kabisa huko mbele itakuja kuniletea matatizo. Nataman kuanza kufanya mazoezi tatizo huo muda ndio unakosekana

Nakaribisha mawazo yenu wadau. Najua watakaobeza hawakosekani.


Picha sio halisi ni kwa msaada wa google. Sinaga tabia ya kupiga picha chakulaView attachment 1703758View attachment 1703760View attachment 1703759View attachment 1703763View attachment 1703761View attachment 1703762
Hongera! Ila kwa vyakula, naona umeshaanza kuona matokeo. Kuwa mwangalifu sana na unavyokula, kujiepusha na magonjwa ya uzee kabla ya muda wake.
 
Kula kwa afya mdau kama ulivyoshauriwa na pia piga mazoezi ili kujiweka fit.
Mimi nagonga menyu hasa ila yote inaishia kwenye mbio nimeweza kumaintain uzito wangu kwa miaka mitatu sasa nacheza kwenye 72-76kg.
Kipindi cha nyuma wakati naishi kizembe na tungi kwa sana nilikuwa nacheza kwenye 88-90.
Kila la kheri mdau na hongera kwa kuachana na tungi.
Huwa unaenda wastani wa km ngapi kwa siku mkuu? Maana najaribu kukata kilo kama 10 au 15 kabisa lakini nashindwa.
Huwa nazunguka uwanja wa mpira mara3 mpaka 5 kwa siku. Nataka nitoke kwenye 92kg ikibidi ishuke mpaka 82kg au 78kg hv.
 
Aiseee...Maradhi ya lishe Ni mabaya...Sana...UNENE haujawai kuwa.mzuri
 
Mdogo angu badala ya kuongeza speed ya kutafuta ela unywe vinywaji expensive we unakimbulia kula kula kama mtoto wa kike wa chuo....shame..hapo unachofanya unajijaza tu mimafuta na utakuja ilipia ukiwa hospital....shame...Dili zangu zote nazipata bar kikubwwa ni kunywa kwa ustaarabu
Sawa...ni mawazo yako boss, #Haipingwi
 
Yum yum yum.....
Screenshot_20210219-070720.jpg
 
Huo uzito,soon utashindwa kuchakata mbunye,pressure na sukari watakuwa marafiki zako wa kudumu,Corona ndiyo usiombee hutaweza hata kupambana nayo...
 
Habar za muda huu, ndugu zangu wana JF.

Kama tujuavyo tuliowengi ikifika mwishoni mwa mwaka...tunakwaida ya kujitathmini yale tuliyoyafanya kwa kipindi cha mwaka mzima. Katika nyanja ya mafanikio, uzembe/jitihada tulizozifanya katika kutimiza malengo tuliojiwekea.

Sasa katika kujitathmini, nikagundua...karibu 60% ya kipato nikipatacho kinaishia kwenye gambe. Nilisikitika nikajiona ni mjinga wa kujitakia.

Nikaamua kuweka nadhiri kwamba ifikapo 2021, niachane kabisa na habar za ulabu , nihamie kwenye starehe ambayo itakuwa cheaper kuliko pombe kwa namna moja au nyingine isilete matokeo mabaya katika maisha yangu.

Baada ya kutafakari kwa kina...nikaona nihamie kwenye msosi...yani vile vyakula vyote ambavyo vinafurahisha nafsi yangu ndio iwe starehe yangu pendwa.

Aisee since January kuanzia nyumban kwangu mpaka ofisini ni zaid ya super market achilia mbali misosi ya nje ya home na ofisini.

Kiukweli, natumia kiasi kidogo sana cha pesa na naenjoy sana..siwezi orodhesha vyote lakini hv nisehemu ya vyakula ambavyo havikosi kwenye ratiba zangu za kila siku...

1. Kitimoto rosti na ndizi huu mara nyingi ni mlo wangu wa jioni karibuni kila siku...siku ninazokosa ni chache sana, kinachobadilika ni aina ya mapishi tu. J3 inaweza kuwa kavu+ ndizi, J4 ikawa choma, j5 ikawa rost +vegetables, Alh ikawa makange ya ndizi mixed with kitimoto.

2. Mchemsho wa kuku wa kienyeji, Nafikir wale wahudumu wa uhuru bar ni mashahidi katika hili

3. Ugali nyama choma(Mbuzi)...napendelea zaidi nyama iwe ya nundu

4. Birian kila ijumaa huwez nikosa pale moroco kwa mama sakina

5. Wali maini ni chakula changu pendwa pia.

Achilia mbali..Makorosho, ma ice cream ya bakharesa(sio haya ma bolcon ya jerojero), na haya ma fresh juice ndio kila wakati.

Kiufupi since January naishi kama mgonjwa (Maana inaaminika Tanzania hatuli vizuri mpaka tuumwe.

MATOKEO.

Hapa ndio kwenye balaa. Mara ya mwisho nilipima nikawa na kilo 87/88, Jana nimepima nna Kg 96. Nimenenepa haraka mno kwa kipindi kifupi.

Ila kwenye upande wa financially nimeokoa hela nyingi mno.

Sasa ndugu zangu...hii lyf style nimeipenda sana tatizo naona kabisa huko mbele itakuja kuniletea matatizo. Nataman kuanza kufanya mazoezi tatizo huo muda ndio unakosekana

Nakaribisha mawazo yenu wadau. Najua watakaobeza hawakosekani.


Picha sio halisi ni kwa msaada wa google. Sinaga tabia ya kupiga picha chakulaView attachment 1703763
ukiweza kukaa mwaka hadi miaka mitano hujanywa njoo tuambie umeacha ila mwezi tu ndugu umepumzika tu
 
Back
Top Bottom