Dig the EA
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 279
- 270
Kuna ile mwanamke unamwona au mnafahamiana. Muda si muda mnapeana namba na mawasiliano kuanza. Katika kuwasiliana, mwanamke anajiletaleta au kujitongozesha.
Lkn inatokea mwanaume havutiwi na yule mwanamke. Hii ni kwa sababu wanawake wengine au huyo mwanamke sura haisomi kabisa au shape haitazamiki. Yaani ni ile yupo tu kama binadamu lkn hana mvuto wowote kabisa.
Lakini yeye anakuja tu, anajileta na kujitongozesha. Mnaongea tu kwa vile yupo au mnafahamiana Kama binadamu. Yeye mwanamke anawaza mahusiano/mapenzi. Ni namna gani ya kumkataa au kumkwepa au kuachana naye?
Lkn inatokea mwanaume havutiwi na yule mwanamke. Hii ni kwa sababu wanawake wengine au huyo mwanamke sura haisomi kabisa au shape haitazamiki. Yaani ni ile yupo tu kama binadamu lkn hana mvuto wowote kabisa.
Lakini yeye anakuja tu, anajileta na kujitongozesha. Mnaongea tu kwa vile yupo au mnafahamiana Kama binadamu. Yeye mwanamke anawaza mahusiano/mapenzi. Ni namna gani ya kumkataa au kumkwepa au kuachana naye?