Namna gani naweza tumia Google Adsense kuniingizia kipato

kama mnatumia blog ukiapload picha moja ya 10Mb ata kama ni kali ukumbuke itakupa shida kwenye page loading na best page loading time inatakiwa iwe ni 3sec sasa kama inafika 10sec ukumbuke Bounce rate itakuwa kubwa na itakushusha sana kwenye SERPs ya Google so muwe nakini alaf ukumbuke unapodownload picha na mwingine nae anachukua hapo hapo so mnacjikuta kila mtu anayo, kinachofuata ni Duplicate content sasa kwenye SEO unajua negative effecta ya duplicate contents.
Point
 
Wakuu naomba niulize Google AdSense hawaruhusu lugha ya kiswahili maana Jana nilijiunga nao,nasubiri kuwa approved muda huu wametuma email.kufungua nakutana na lugha zinazoruhusiwa ila kiswahili sijakiona

Hawa wenye blog za kiswahili na wanapata matangazo inakuwaje?

Screenshot_20211004-230300.png
 
Wakuu naomba niulize Google AdSense hawaruhusu lugha ya kiswahili maana Jana nilijiunga nao,nasubiri kuwa approved muda huu wametuma email.kufungua nakutana na lugha zinazoruhusiwa ila kiswahili sijakiona

Hawa wenye blog za kiswahili na wanapata matangazo inakuwaje?
Adsense hawakubali kiswahili ,
Lugha zinakubalika ni hizi hapo 👉 Languages Google publisher products support - Google AdSense Help

Hakuna blog ya kiswahili ambayo yenye matangazo ya Adsense ( Matangazo ya JamiiForum sio Adsense )
 
Adsense hawakubali kiswahili ,
Lugha zinakubalika ni hizi hapo 👉 Languages Google publisher products support - Google AdSense Help

Hakuna blog ya kiswahili ambayo yenye matangazo ya Adsense ( Matangazo ya JamiiForum sio Adsense )
Jamii forum wanatumia Matangazo ya Google ila sio adsense hawa wanatumia Google ADX hz kidogo ni tofaut na adsense na mapato ni makubwa kuliko adsense ila inatakiwa uwe na traffic kubwa.
Pia kuhusu blog za kiswahili wengi wanaomba kwa Articles za english alaf wakishakubaliwa wanaanza kumix english na swahili kama blog za kazi au elimu sana sana.
 
Wakuu naomba niulize Google AdSense hawaruhusu lugha ya kiswahili maana Jana nilijiunga nao,nasubiri kuwa approved muda huu wametuma email.kufungua nakutana na lugha zinazoruhusiwa ila kiswahili sijakiona

Hawa wenye blog za kiswahili na wanapata matangazo inakuwaje?

View attachment 1963097
kwann unaomba kabla ata kusoma guidlines zao ndio mambo ya kukurupuka alaf ushaharibu ndio unataka upate msaada.
Yawezekana kuna changamoto zaid ya ata hyo lugha kwenye blog yako.
 
kwann unaomba kabla ata kusoma guidlines zao ndio mambo ya kukurupuka alaf ushaharibu ndio unataka upate msaada.
Yawezekana kuna changamoto zaid ya ata hyo lugha kwenye blog yako.
Unatakiwa ujibu swali Kama nilivyouliza maana hapo hakuna ulichojibu wala kusaidia,sehemu zingine muwe mnapita tu sio lazima uandike au unahisi umejibu Nini?
 
Vitu vya kuzingatia ili website yako ikubalike kutumia matangazo ya Adsense:
- Hivi ni baadhi tu , sio vyote ( Robot hutumika kufanya Approve ya website , kabla hijawa approved na mtu , Kwa hiyo kuwa makini - kitu kidogo kinaweza kuku-cost )

    • Usiwe ume tumia matangazo ya Pop ups Ads ndani ya miezi 4
    • Uwe na post chini ya 19 ambazo zina muda wa miezi 2 na kuendelea
    • Kila siku usikose watembeleaji , si chini ya 100
    • Usitumie topic ambazo ni common katika nchi yako ( Kwa mfano Tanzania kuna blog kibao zinazohusu elimu na Ajira )
    • Website iwe kwenye muonekano wa kuvutia na inafanya kazi kila kitu
    • Usiwe unaangalia mwenyewe website yako
    • Tumia lugha ya kiingereza
    • Usitumie vitu ambavyo ni copyrighted ( Mfano picha )
    • Uwe na mada ambazo zinamvutia mtembeleaji
    • Iwe inaonekana kwenye Google Search Engine kwa urahisi
    • Usiweke mchanganyiko wa topic ( Kama inahusu michezo , ni michezo tu . Baadae utakuja kubadilisha )
    • Usiweke videos zinazozidi dakika 10 ( Website itahesabika kama Streaming Website )


ONYO: ( Kwa website tu , sio Youtube )
Usiianze hii Adsense kama Kazi Kabla hujawa na mtu ambaye anauelewa kuhusu Adsense.
Mana itakuchukuwa muda wa zaidi ya miaka 3 bila mafanikio yoyote , ukiambulia kuona watu wanahadithia wanatoa milioni 24 kwa mwezi.
Nakushauri kama wewe ni blogger , jaribu kukaa na mtu anayejua kuhusu coding mana unaweza kukubaliwa Adsense ila kutokana haushughulikii Errors zinazojitokeza account yako ikafungiwa
 
Unatakiwa ujibu swali Kama nilivyouliza maana hapo hakuna ulichojibu wala kusaidia,sehemu zingine muwe mnapita tu sio lazima uandike au unahisi umejibu Nini?
Sasa mtu kashatuma maombi ata ukimjibu inavyotakiwa itasaidia nn wakat tayr barua yake ipo kwenye list ya site za kufanyiwa reviews ili zikubaliwe or zikataliwe kwann mtu kabla ya kufanya jambo usitafute ushaur kwanza ili ufanye kwa ufanisi.
 
Sasa mtu kashatuma maombi ata ukimjibu inavyotakiwa itasaidia nn wakat tayr barua yake ipo kwenye list ya site za kufanyiwa reviews ili zikubaliwe or zikataliwe kwann mtu kabla ya kufanya jambo usitafute ushaur kwanza ili ufanye kwa ufanisi.
Ni sawa kaka ila unajua humu sio kila mtu anakuwa anajua vitu,kuna wengi naamini tumejifunza vitu vingi sana humu ndani na hata tumefanya baadhi ya majukwaa kuwa kama darasa kwetu.Sasa jf siku izi kuna baadhi ya watu huwa wanakatisha tamaa baadhi ya watu ambao wanakuja hapa kuomba ushauri ama utatuzi ama kujua vitu mbalimbali,kuna nyuzi nyingi ukiangalia mtu anaweza kuwa serious na jambo fulani akauliza lakini akaambulia majibu ya tofauti kabisa hata akakatishwa tamaa ya kusonga mbele zaid ndio maana nimeshauri ni vyema mtu akiuliza kitu hata kama ameshakosea kumuelekeza na kumfundisha ndio tunazidi kuijenga forum yetu pendwa na hii itasaidia kutusaidia zaidi kuliko kutoka nje ya yale anayouliza muulizaji maana yaweza kuwa akijibiwa vizuri akapata faida kuliko kutoka empty.lakini yote kwa yote tuko pamoja, kila hatua dua,penye makosa naomba tusameheane tu hatujakamilika.
 
Sasa mtu kashatuma maombi ata ukimjibu inavyotakiwa itasaidia nn wakat tayr barua yake ipo kwenye list ya site za kufanyiwa reviews ili zikubaliwe or zikataliwe kwann mtu kabla ya kufanya jambo usitafute ushaur kwanza ili ufanye kwa ufanisi.
Ku-apply sio tatizo ,
Kwa mimi nilisha apply zaidi ya mara 20 bila mafaniko , tokea 2018 - kutokana na mimi nilianza hivyo hivyo kwa kutokujua.
Makosa nilokua nayo mpaka wakakataa ni pop ads na kuweka coprighted content.
Nikaweka mambo sawa lakini bado , kukawa na broken link , nikarekebisha .
Kuwa na tatizo la kchanganya topic , nikarekebisha
Mpaka leo nimejifunza mengi , ninaweza nikatengeneza blog ndani ya miezi 3 ikawa imekuwa verified .

Kwa kosa la lugha sio kikwazo kikubwa .

Njia za kutibu tatizo
- Afute post zote , na aanze upya kwa lugha ya kiingereza
-Metadata na Site description ziwe kwenye lugha ya kiingereza

Akae kwa muda wa mwezi mmoja , Google search engine itakuwa imesha map , maneno yaliyo kwenye blog yake
kisha atume maombi tena
 
Yaan hivi AdSense kweli kuna watu hapa bongo wana print ata laki kwa siku?

Maana nimesoma wanavo lipa nimechoka.hhh
Au ni mimi ndio sijaelewa.

Maana nimeona kwa click 1000 wanalipa 0.1usd

Hii ina maana ili uingize laki kwa siku unatakiwa upate click 500000.

Kwaiyo kwa siku kama ni blog inatakiwa itembelewe na watu laki 5 na wa click hizo ads zako kila mtu atleast mara moja.


Je kama ndio hivi unaweza ukapata watu laki5 kwa siku?
Kama kuna sehem sijaelewa ebu nielewesheni
 
Back
Top Bottom