Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,470
Yaani hapo siamini tena chandarua mtu wanguHapo Saky hujaelewa kbs... Viandarua vya cotton vyeupe havina madhara awala adha!!
hivi vya misaada ni nylon (chemicals) !!
Yaani hapo siamini tena chandarua mtu wanguHapo Saky hujaelewa kbs... Viandarua vya cotton vyeupe havina madhara awala adha!!
hivi vya misaada ni nylon (chemicals) !!
Naam mkuu.kakaa....!!
kama ana kitanda kipana ni heri waweke mito mingi laini pembeni kuzuia chandarua hii isigusane na mwili wakati wa kujigeuza na kuhangaika kitandani.Kwa hali hii ni vema Mom akashauriwa asishushe chandaruwa hadi game iishe, kwanza wakati wa game hakuna mbu anayeweza sogea.........
Basi siku hizi kuna lotion wajipaka nyayoni na kwenye sikio..... hapo mbu hasogei !!!Yaani hapo siamini tena chandarua mtu wangu
Unaweza kukuta wawili tu wale wakubwa ndo wake, wengine wamekuja baada ya kupewa chandarua cha Hisani ya Watu wa Marekani.Aisaee watoto saba .. bado baba anadai upungufu wa nguvu ?!!!
Hapana mkuu, Niya yao ni kupunguza idadi ya umma kuzaa kwa wingi !!!Unaweza kukuta wawili tu wale wakubwa ndo wake, wengine wamekuja baada ya kupewa chandarua cha Hisani ya Watu wa Marekani.
mimba haihitaji nguvu kutunga isimame tu na kuweza kutoa maniiAisaee watoto saba .. bado baba anadai upungufu wa nguvu ?!!!
Labda !!! maana hata wagumba nao humwaga mbegu ......mimb
mimba haihitaji nguvu kutunga isimame tu na kuweza kutoa manii
Hapo sawa, lakini kama ukipaka harufu yaua mbu anaeruka vipi nguvu za kike mkuu, zitapona kweliiBasi siku hizi kuna lotion wajipaka nyayoni na kwenye sikio..... hapo mbu hasogei !!!
Lkini mkuu, kuna tofauti kati ya nguvu za kiume na uwezo wa kuzaa. Mara nyingi ukisikia nguvu za kiume ni kitendo cha mtu kuhimili tendo kwa muda mrefu kama nusu saa vile, kitendo cha mtu kutumia dakika 5 na kumaliza kazi ndo kinaitwa upungufu wa nguvu za kiume, lakini katika kutunga mimba, hata dakika moja inatosha kutoa hapa macha sita !!Hapana mkuu, Niya yao ni kupunguza idadi ya umma kuzaa kwa wingi !!!
Mkuu kavu, Hapana mpendwa sikubaliani nawe hapo !! Japo wapo wengi wana imani na huruma na kujitolea sana.... HAKI yao tuwape na tuheshimu wale wanaotozwa kodi zao na wanaojitolea mali zao kuja kusaidia kote ulimwenguni !!! (mengine mie sijui) ila ushuhuda wapo wengi wakarimu !!!Wazungu hawana kitu cha bure hata siku moja!! kwao kuna give and take....!!!, scratch my back I scratch yours!!!
tetehehehe
Mmmh!! hapo itatupasa tufanye jaribio, au kuhakiki nguvu za harufu inaishia wapi....(experement yahitajika)Hapo sawa, lakini kama ukipaka harufu yaua mbu anaeruka vipi nguvu za kike mkuu, zitapona kwelii
Hahahaaa,Mmmh!! hapo itatupasa tufanye jaribio, au kuhakiki nguvu za harufu inaishia wapi....(experement yahitajika)
