Namna bora ya kukata roho

Hapo kwenye red hujasema kweli.......kwani utakapokuwa kaburini Ufahamu wa kiroho utakuwa nao ili ujue baada ya hukumu utakuwa wa upande gani kati ya pepo au moto na hapo ndipo kilio na kusaga meno hutokea....................
 
Mshana jr huyo hayupo sahihi hata kidogo hebu soma post yangu namba 83 hapo juu.......KABURI kwa maana ya kwamba mwili haupo katika Uso wa Aridhi wala katika Uwanja wa hukumu........Bila kujali umeliwa na wanyama, umeyeyuka kwenye Acid, umeungua moto, umefukiwa chini ya Aridhi nk...............Huko uliko ndiko KABURINI kwako.............
 
Yeah mimi babu yangu mmoja alikufa wiki nzima.... Hivyo vitu ni madawa ya kienyeji ya kuwapa nguvu ni mabaya sana inapofika hatua ya kukata roho

Jr[emoji769]
 



Jr[emoji769]
 



Jr[emoji769]
 



Jr[emoji769]
 



Jr[emoji769]
 



Jr[emoji769]
 



Jr[emoji769]
 
Imeandikwa wapi, tunataka maandiko matakatifu yaweze kuconfirm haya unayoyasema, je yapo upande wa madhabahu ya Mungu, au upande wa madhabahu ya shetani? Nijuavyo mtu akaribiapo kufa huwa kuna stages of death, ukiangalia Stages of Death in a psychological manner, zipo tano utaziona, lkn mtu anapokufa according to imani yangu asipopata muda wa kutubu bhas hukumu yake ataikuta mbele, lkn yule anayekuwa ktk stage mojawapo ya umauti kati ya hizo tano na anabahatika kutubu mbele za Mungu akiongozwa sala ya Toba na kiongozi anayekubalika na mwenye mapenzi ya Mungu bhaas mtu huyo ataenjoy. Hvo tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini siku usiamue kwenda ikulu kiroho kumuangalia Ankali huwa anafanya nini? au DAB hata waliocheza movuie pale DODOMA unaweza kuwajua pia
[emoji3] [emoji3] [emoji3] sina vinasaba nao! Lakini hata siku nikienda sisemi

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…